Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Huyu ni mchapakazi mzuri, tatizo lake ni lile la kuukumbatia waraka wa katoliki.
Kama kiongozi wa Bunge anaweza kuutekeleza waraka huo ndani ya Bunge na sio kuwapa jumuiya na taasisi za dini kazi ya serikali. Kwa hilo atakaa na ajute maisha yake yote.
Kwa sasa hivi hawezi kuungwa mkono na wananchi wote isipokuwa wale watu wa makanisa... Doa!!!!!!
Labda kama ataomba msamaha na kurudi katika mstali.
Kama kiongozi wa Bunge anaweza kuutekeleza waraka huo ndani ya Bunge na sio kuwapa jumuiya na taasisi za dini kazi ya serikali. Kwa hilo atakaa na ajute maisha yake yote.
Kwa sasa hivi hawezi kuungwa mkono na wananchi wote isipokuwa wale watu wa makanisa... Doa!!!!!!
Labda kama ataomba msamaha na kurudi katika mstali.