Spika Sitta Kung'olewa?

Sitta ame preempt.
Good move...get the "wananchi" to be on your side by crying foul before you are given red card using media.
Hivi lile sakata la nyumba yake na pharmacy limeishia wapi?
 
Sitta ame preempt.
Good move...get the "wananchi" to be on your side by crying foul before you are given red card using media.

Hivi lile sakata la nyumba yake na pharmacy limeishia wapi?

the move was terminated baada ya kuona kwamba jamaa hatikisiki kwa kutumia Media

sasa hivi naona move inakuja nyingine kwa kutumia NEC NA CC
 
the move was terminated baada ya kuona kwamba jamaa hatikisiki kwa kutumia Media

sasa hivi naona move inakuja nyingine kwa kutumia NEC NA CC
Sasa huko kwenye CCM mbona nasikia Makamba ndio kapenya kwenye tundu la sindano?
 
Kweli hawa mafisadi ni wajinga sana. Wanashindwa kuelewa kuwa siyo CC wala NEC ya CCM yenye mamlaka ya kisheria kuweza kumwondolea S.6 uspika!

Wanachoweza kufanya ni kumwondolea ubunge kwa kumnyang'anya uanachama wa CCM, lakini siyo uspika kwa maana kisheria, siyo lazima mtu kuwa mbunge ili kuchaguliwa spika. Spika wa Bunge la Jamhuri, kwa mujibu wa katiba ya JMT, anaweza kuwa au asiwe Mbunge.

Raia yeyote anaweza kuchaguliwa na Bunge la JMT, kwa njia ya kura za siri, kuwa Spika wa Bunge la JMT. Hawa jamaa vilaza kweli kweli, spika S.6 akiondolewa uanachama wa CCM an hivyo kupoteza ubunge, hawezi kupoteza uspika kwa 'automation', isipokuwa hadi kura zipigwe bungeni; kwanza za kutokuwa na imani naye, na halafu za kumpata spika mpya iwapo S.6 atashindwa katika kura za kutokuwa na imani naye.

Poleni vilaza wa mtandao wa CCM-fisadi.
 
Pole na wewe pia. Spika wako hana uadilifu. Na kama hajui kuiongelea Zanzibar vizuri atakwenda na maji.

Kwani wewe ni fisadi?, mbona unaongea kama wewe ni mlengwa. Na suala la Zanzibar limeingiaje humu?, Au unataka aendeleza zile siasa za kitoto na kipuuzi za kinzanzibar za kuficha mabomu kwenye madaraja na kuyaibua kisha kutisha wananchi, na kuleta mizengwe kwenye uandikishaji. Siasa za kinzanzibar ni za ki-hamijei kweli, hata mtoto mdogo humdanganyi.

Mwachezi Sitta afanye kazi, wakati wa kulindana umeisha, kitakachomlinda mtu ni uadilifu wake tu.
 
Kwani wewe ni fisadi?, mbona unaongea kama wewe ni mlengwa. Na suala la Zanzibar limeingiaje humu?, Au unataka aendeleza zile siasa za kitoto na kipuuzi za kinzanzibar za kuficha mabomu kwenye madaraja na kuyaibua kisha kutisha wananchi, na kuleta mizengwe kwenye uandikishaji. Siasa za kinzanzibar ni za ki-hamijei kweli, hata mtoto mdogo humdanganyi.

Mwachezi Sitta afanye kazi, wakati wa kulindana umeisha, kitakachomlinda mtu ni uadilifu wake tu.

sasa sitta ana uadilifu upi?
 
Mbona taarifa za mwanahalisi na mwanachi leo zinatofautiana?Mwananchi leo linasema hivi kwa kifupi hapa nankuu

Mkkati unaoonekana kuwa uliandaliwa na kundi linalotuhumiwa kwa ufisadi kwa ajili ya kumshughulikia Spika wa bunge kwa kumvua uanachama kwa madai ya kukidhoofisha chama jana uligonga ukuta baada ya wazee wa chama hicho kuukwamisha kutokana na kuhofia mpasuko mkubwa.
Wajumbe 22 wa NEC ya CCM walitoa hoja za kutaka spika sita afukuzwe kwa kile wanachodai kuwa ni mtu hatari ambaye akiendelea kuachwa atakiweka chama pabaya.
Hata hivyo habari kutoka ndani ya kikao hicho zinasema Sita Aliomba radhi na kusamehewa.

Sasa ukisoma vizuri habari ya mwana halsi mbona inakinzan na habari hii.

Ndo maana Zombe anataka kuvishitaki vyombo hivi

Source Mwananchi ya leo
 
Dah mafisadiso wanakazi kweli kweli kinacho niuma mimi yanakubalika sana kwa wananchi sijui yanatumia uchawi?
 
Mbona taarifa za mwanahalisi na mwanachi leo zinatofautiana?Mwananchi leo linasema hivi kwa kifupi hapa nankuu

Mkkati unaoonekana kuwa uliandaliwa na kundi linalotuhumiwa kwa ufisadi kwa ajili ya kumshughulikia Spika wa bunge kwa kumvua uanachama kwa madai ya kukidhoofisha chama jana uligonga ukuta baada ya wazee wa chama hicho kuukwamisha kutokana na kuhofia mpasuko mkubwa.
Wajumbe 22 wa NEC ya CCM walitoa hoja za kutaka spika sita afukuzwe kwa kile wanachodai kuwa ni mtu hatari ambaye akiendelea kuachwa atakiweka chama pabaya.
Hata hivyo habari kutoka ndani ya kikao hicho zinasema Sita Aliomba radhi na kusamehewa.

Sasa ukisoma vizuri habari ya mwana halsi mbona inakinzan na habari hii.

Ndo maana Zombe anataka kuvishitaki vyombo hivi

Source Mwananchi ya leo

Angalia tarehe!!! MwanaHalisi lilitabiri kabla, ni toleo la wiki iliyopita (Jumatano) na ndicho kilichotokea. Kwa hili waliandika ukweli sana.
 
Mbona taarifa za mwanahalisi na mwanachi leo zinatofautiana?Mwananchi leo linasema hivi kwa kifupi hapa nankuu



Sasa ukisoma vizuri habari ya mwana halsi mbona inakinzan na habari hii.

Ndo maana Zombe anataka kuvishitaki vyombo hivi

Source Mwananchi ya leo

Haya magazeti hasa Tanzania Daima, Mtanzania, Mwanchi source yao ni moja kwa kumkomoa Spika lakini ukisoma Majira, Nipashe ndo utapata ukweli kuhusu hili suala.

Ndo maana nampenda sana Kubenea yeye anakutajia na majina waziwazi namuombea Kwa Mungu amlinde. Ila MAFISADI WATASHINDWA pamoja nakuwa wanapesa nyingi kutikiza nchi kwenye magazeti, JF, NEC watashindwa.
 
Siku zote ukweli huuma, Spika wetu Mhe Sita hana upendeleo na ana fanya kazi yake kwa ukweli na bila upendeleo. Wale Mafisadi wa Chama chake hawawezi kumpenda kwani mara nyingi ameonekana kuwa against nao. Sikatai Mhe. Sita ana mapungufu yake lakini ninachoweza kusema tu ni kwamba anajitahidi kufanya kazi yake ya kuongoza Bunge bila upendeleo. Angalau wananchi hilo tunaliona.
 
6 ni kubwa jinga lazima litayumbishwa na kikao cha sisieeem.Limejaa unafiki na kupenda rushwa ndogondogo wacha lichemshwe kwanza.
 
sasa sitta ana uadilifu upi?

Ana uzaifu wa Wabunge wote kwa ujumla, ni mbinafsi! Wabunge wapo pale kwa maslaha ya matumbo yao na hivi sasa kuna tetesi kuwa Sitta kaomba Radhi kwa NEC. Kwanini afanye hivyo? Si wananchi wako nyuma yake? Hapo ndipo unapoona kuwa Ubunge ni maslahi na si kuwapigania wananchi.
 
Angalia tarehe!!! MwanaHalisi lilitabiri kabla, ni toleo la wiki iliyopita (Jumatano) na ndicho kilichotokea. Kwa hili waliandika ukweli sana.


Ni ukweli ambao hautaki utabiri. Kinachofanyika ndani ya CCM ni harakati za 2010 na kila mbunge anachaguwa upande anaouona kuwa utamsaidia kupata ubunge. Siamini kama kweli yupo anaeweka maslaha ya wananchi mbele kuliko ya kibinafsi. Hivyo ili kuwasaidia Watanzania ni kupitia Bunge peke yake?
 
Haya magazeti hasa Tanzania Daima, Mtanzania, Mwanchi source yao ni moja kwa kumkomoa Spika lakini ukisoma Majira, Nipashe ndo utapata ukweli kuhusu hili suala.

Ndo maana nampenda sana Kubenea yeye anakutajia na majina waziwazi namuombea Kwa Mungu amlinde. Ila MAFISADI WATASHINDWA pamoja nakuwa wanapesa nyingi kutikiza nchi kwenye magazeti, JF, NEC watashindwa.

Ni ajabu kusema kuwa gazeti fulani liko safi. Nayo yanaangalia masilahi lakini kwa upande wangu namna wanavyoandika Tanzania Daima naiona ni bora zaidi kwa vile wana tabia ya kunakili maneno kama yalivyosemwa na wahusika na inakuwa kazi kwako kuamuwa upendavyo.
Kinachotuongoza mitizamo juu ya magazeti ni mitizamo yetu binafsi juu ya mada zinazoongelewa.
 
Does this mean that corruption has been institutionalized, naona kuna mienendo inayotishia mafanikio katika vita yetu dhidi ya rushwa. Naona mafisadi wamejipanga vzr sana. Najaribu kukumbuka suala la Richmond, PCCB badala ya kupambana na rushwa ikaipamba rushwa vilivyo na kudai mkataba wa Richmond safi! Wana JF nauliza ni kweli rushwa imeshakuwa taasisi hapa TZ?
 
Back
Top Bottom