Hizi kinga huwa zinaondolewa ndani ya masaa 24. Umesahau ya Malawi?Spika ana kinga ya kutokuishitakiwa,
Sheria siyo maandiko matakatifu
Hizi kinga huwa zinaondolewa ndani ya masaa 24. Umesahau ya Malawi?Spika ana kinga ya kutokuishitakiwa,
Wivu utakuumiza sanaKutoheshimu katiba ya nchi unayo apa kuifuata na kuilinda ni kosa kubwa la pili baada ya uhaini na mauaji.
Spika wa Bunge Job Ndugai na Katibu wa Bunge wanapaswa kupelekwa mahakamani kama sio leo basi baada ya utawala huu unaowalinda kuondoka madarakani.
Sakata la Wanachama wa CHADEMA waliofukuzwa uanachama na kuendelea kuwa wabunge kinyume na maelekezo ya katiba ni kuidharau hiyo katiba na kwa maana hiyo ni kosa kubwa la jinai linalofanywa kwa makusudi.
Kama Spika wa Bunge hawezi kuheshimu katiba kuna sababu gani raia wengine kuiheshimu?
Mbona ruzuku hamuachi?Kutoheshimu katiba ya nchi unayo apa kuifuata na kuilinda ni kosa kubwa la pili baada ya uhaini na mauaji.
Spika wa Bunge Job Ndugai na Katibu wa Bunge wanapaswa kupelekwa mahakamani kama sio leo basi baada ya utawala huu unaowalinda kuondoka madarakani.
Sakata la Wanachama wa CHADEMA waliofukuzwa uanachama na kuendelea kuwa wabunge kinyume na maelekezo ya katiba ni kuidharau hiyo katiba na kwa maana hiyo ni kosa kubwa la jinai linalofanywa kwa makusudi.
Kama Spika wa Bunge hawezi kuheshimu katiba kuna sababu gani raia wengine kuiheshimu?
Anzeni kwanza chadema kukataa ruzuku inayotoka kwenye serikali ambayo imeingia kwa uonevu Then ndio mje na ishu ya ndugaiUko sawa, ila niambie hata mishipa ya fahamu hawana kuwa katiba inavunjwa?
Hata Rais Chiluba alipostaafu alikuwa na kinga. Lakini aliyefuata alitumia taratibu halali kuiondoa na akashtakiwa na kufia ndani.umesahau hawa miamba wanakinga eeeeeeeeehhh
Mitano tena.
We kweli mwehu! Kwani kalia au kaeleza?Wivu utakuumiza sana
Let's say bungeni wangekuwa hawapati pesa yoyote ni kazi ya kujitolea sidhan kama ungekuja kulialia hapa
Alinawa mikono kabla ya kuanza kukamua au mikono yake ni mitakatifu?
Nimewaomba ushahidi wa risiti ya kutoa na kupokea hiyo ruzuku mmeshindwa kuonyesha. Basi inaelekea COVID imewapanda kichwani.Anzeni kwanza chadema kukataa ruzuku inayotoka kwenye serikali ambayo imeingia kwa uonevu Then ndio mje na ishu ya ndugai
Umepotoka Sana, nadhani ni kwasababu ya njaa.Chadema ilitoa fursa ya waliofukuzwa kukata rufaa na kwa mantiki hiyo hukumu ya kamati kuu haikupelekwa kwa spika mpaka Baraza kuu litakapokaa na kuisikiliza rufaa ya wanachama 19.
Mpaka hapo mpira uko miguuni mwa Chadema,Baraza kuu litabariki maamuzi ya kamati kuu na kumuandikia spika au baraza kuu litawasamehe na kuwarudishia uanachama wao,NI suala la muda.
Mpaka sasa Ndugai yupo huru kufanya lolote na hao wabunge 19!
Ni kwa uelewa wangu!!
Matamanio yako ni lamli, umejuaje hichi usemacho?Mkuu una angalizo zuri, ila matamanio yako sio rahisi kufikiwa kwani ukija utawala mwingine watasema hawafukui makaburi.
Kama Chadema walivyojiwekea sheria ndani ya Katiba yao kulinda udhalimu wao eti Mwanachama akienda Mahakamani kukishitaki chama basi moja kwa moja uanachama wake unakuwa umekomaWamejiwekea sheria ya kulinda maovu yao. Sheria haramu hakuna atakayeiheshimu. Utawala ukija mwingine, watafungwa tu maisha jela
Trump analalamika kuibiwa kura, hao USA wamejifanyia nini? Acha unyonge wa fikraWamesikia wenzao walio endesha uchaguzi walichofanyiwa na USA bado wao
Hakuna cha kunawa wala niniAlinawa mikono kabla ya kuanza kukamua au mikono yake ni mitakatifu?
Mahakama ipi ?Kutoheshimu katiba ya nchi unayo apa kuifuata na kuilinda ni kosa kubwa la pili baada ya uhaini na mauaji.
Spika wa Bunge Job Ndugai na Katibu wa Bunge wanapaswa kupelekwa mahakamani kama sio leo basi baada ya utawala huu unaowalinda kuondoka madarakani.
Sakata la Wanachama wa CHADEMA waliofukuzwa uanachama na kuendelea kuwa wabunge kinyume na maelekezo ya katiba ni kuidharau hiyo katiba na kwa maana hiyo ni kosa kubwa la jinai linalofanywa kwa makusudi.
Kama Spika wa Bunge hawezi kuheshimu katiba kuna sababu gani raia wengine kuiheshimu?
Kama kuna kifyonza damu kinacho nyonya damu ya watanzania kinguvu ni hili dude tunaloliita bunge.Ndugai ndie mbunge ambae daima ni mfano bora wa kuepukwa na jamii, Amelifanya bunge kuwa la kudharauliwa kuliko mabunge yote tangu tupate uhuru! Sidhani kama lina hadhi ya kuitwa bunge!
Tunajadiri Nchi, Bunge la nchi. Kesho njoo na hoja ya CDM. Hii ni Ndugai na Bunge la JMT!Kama Chadema walivyojiwekea sheria ndani ya Katiba yao kulinda udhalimu wao eti Mwanachama akienda Mahakamani kukishitaki chama basi moja kwa moja uanachama wake unakuwa umekoma
Niliandika nilivyoelewa hilo suala.Nashukuru mno na hii ina maana hata rufaa yao ikikubaliwa watarudi kuwa wanachama lakini ubunge utakuwa NO kwa mtizamo wa ki CDM.Umepotoka Sana, nadhani ni kwasababu ya njaa.
Spika alishapelekewa barua kumfahamisha kuwa Hilo kindi limefukuzwa uanachama. ILITOSHA.
Kuwasimamisha, siyo suala la hukumu.
Mcoment huku mkimwogopa Mungu.
Huku mkijua kuwa baada ya maisha haya kuna maisha nje ya ulimwengu huu kwa mujibu was maandiko matakatifu