wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,129
Nikweli kabisa naamini wakikubali kuijadili katiba amahakika kuna baadhi ya mambo itakuwa rahisi sana kuihoji Serekeli bila kufungana mdomo kwa nguvu.Kwa hali hii kuna umuhimu wa kuurudisha Bungeni ule mchakato wa Katiba Mpya ya Wananchi ili kuondokana na hii ya ccm iliyojaa viraka.