FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 802
- 468
Ilibidi atuambie yeye Chuo kikuu alisoma masomo mangapi,labda tuanzie hapo.Baadae atakuja na ugolo mwingine,daktari moja atibu mgonjwa kuanzia matanoHivi huyu mtu ana elimu gani(amesomea nini??) ningependa kujua maana katika empty set ninazozijua huyu ni wa kwanza yaan katika sector ya poor reasoning nampa cheo cha brigedia general