Vita inaambatana na uchumi wa nchi kwanza tuangalie uchumi wetu unaruhusu kuingia vitani?Tusiseme kama tuandakika mistari ya bongofleva.athari ya vita ya Uganda ki-uchmi tunaiona hadi leo.Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
Yes, kama tulivyochukua unguja na pemba.Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
Si rahisi kama wengi wanavyofikiria.walete zao waone kichapo chake na hivi tumegundua gesi marekani watajipendekeza kutupa ile mioto isiyokuwa na rubani.
Wadau punde spika Anna Makinda ametambulisha wageni toka Malawi akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Malawi.
Je inawezekana ni mwanzo mzuri wa mazungumzo baada ya vile vitisho vya ziwa Nyasa au ndo kuzidi kwa mkorogano wa viongozi wetu katika kuiuza nchi yetu?
Wadau punde spika Anna Makinda ametambulisha wageni toka Malawi akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Malawi.
Je inawezekana ni mwanzo mzuri wa mazungumzo baada ya vile vitisho vya ziwa Nyasa au ndo kuzidi kwa mkorogano wa viongozi wetu katika kuiuza nchi yetu?
mkuu heshima yako.Wasiwasi wangu ni kwamba huyo naibu spika wa bunge la malawi atakuwa amekuja kushuhudia reaction ya watanzania baada ya wao kutamka bayana kwamba ziwa nyasa ni lao lote.
Kwa kutambua kwamba leo ministry of Foreign affairs wanafanya presentation ya budget yao basi wakaona waje kushuhudia kwa macho yao msimamo wa nchi ya Tanzania na wananchi wake kupitia chombo chetu cha bunge.
Sasa kama wabunge wetu wasipoonyesha kwa dhati kwamba hawawezi kuruhusu kamwe uchokozi wa aina yoyote kutoka kwa malawi, na wakaendelea kutema mipasho bungeni, basi atarudi kwao na kuwaambia waendelee na uytafiti wao kama kawaida.
Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
Wimbo wa miss tanzania wa solo thang ni jibu tosha ya haya yanayoendelea.
Kwa jinsi wanauza kila kitu huku ndani ya nchi hata visivyohamishika wanauza na vinahamishwa, wamalawi watakuwa wako sahihi. Walishauziwa sasa wanataka eneo lao walilokwisha uziwa.
Sidhani kama malawi hawaelewi, wanaelewa mipaka kila kitu suala ni kwamba walishauziwa na hawa kina Mkapa, J. K na team zao.
Ni kwa sababu tuna mpaka mpana zaidi na ziwa hilo kuliko nchi yoyote miongoni mwetu. Kwa hiyo hata umiliki wetu utakuwa mkubwa. Umeelewa?Samahani pamoja na mahaba yangu na TANGANYIKA lakini sio kweli kwamba UN inasema mipaka ya nchi inapokutana na ziwa basi kila nchi imiliki nusu ya eneo husika.
Kama ingekwa hivyo, mbona Tangayika tunamiliki > 60% ya LAKE VICTORIA na < 40% inayobaki ndiyo inamilikiwa kwa pamoja na Kenya na Uganda?!
Kama tutakavyowafanya waZenji wakileta za kuleta, tena Zenji tutaigawa vipande vipande, vingine vitakuwa wilaya za mikoa wa Mafia, Kinondoni, Bagamoyo, Tanga na Kilimanjaro
Tanzania tukiingia vitani Malawi itakuwa koloni letu. Malawi nikuichapa kwa siku saba tu.Halafu hata walie hatuwapi uhuru si wameyataka wenyewe. Kiherehere chao cha kujitanua kitawaponza. Hebu nawazidishe chokochoko tuifute nchi inayoitwa Malawi au Nyasa na iwe mkoa wa Tanzania.
Acheni unazi wa kijinga usio na tija nyinyi! mnavijua vita au mnavisikia? Hivi hizo bangi huwa mnachanganya na gongo la...au.....? Muwapige wamalawi kwa sababu zipi? kuhoji mipaka waliyoachiwa kisheria na wakoloni sawa na sisi tulivyoachiwa? Ukweli ni kwamba katika mzozo wa Malawi nchi zote ziko sahihi na kinachotakiwa ni busara hata kidogo tu, yaani kuvuta viti, kukaa pamoja na kuelewana mbele ya mashuhuda (AU/UN); na hili la Zanzibar limetokea wapi? wamefanya nini hadi muwagawe vipande vipande? Kwani ni koloni la Tanganyika lile? Zanzibar ni taifa huru lililoridhia kwa hiyari yake kuungana na taifa jingine kwa maslahi ya nchi mbili. Wana uwezo wa kuamua kujitoa kama walivyoamua kujiunga na sisi. Licha ya kuwa na eneo dogo na watu wachache; wanasimama kama taifa lenye hadhi sawa na Tanganyika, Kenya, Marekani au nchi yoyote unayoifahamu na kwa taarifa zenu walevi wa namna hiyo Zanzibar si taifa dogo sana kiasi hicho kwani kuna nchi zina watu elfu kumi na zina hadhi sawasawa na Marekani na Uingereza! Sasa sina shaka kwamba chokochoko baina ya pande hizi mbili mara nyingi huchochewa na walevi msiojua kabisa athari za vita. Kelele za namna hii zikikutana na watu wa aina yenu kule ndiyo yanatokea yanayotokea! Mungu ibariki Tanzania, dumisha amani na umoja!