Mimi nataka kuisikia sababu iliyomfanya aahirishe. Vinginevyo, aidha kuna kujiuzulu kwa baraza la mawaziri au kujiuzulu kwa Waziri Mkuu.
Kuna kitu unakijua lakini hutaki kukisema, sie tuliokula chumvi nyingi tushajua.....
Anyway check ur PM kuna kuna some clue sitaki kumwaga kuku kwenye mtama mwingi oooppps sorry! should be other way round