Unadhani uislamu unaendeshwa kama vyama vya siasa?
Uislamu una taratibu zake. Sio upuuzi unaofanywa na hao wajinga unaowasifia.
Hebu jiulize,uislamu unafaidika nini na huo upuuzi wao zaidi ya kuudhalilisha uislamu na kuupa picha mbaya Kwa wasio waislamu?
Waislamu wangapi wameathirika Kwa matendo yao ya kijinga?

Hao wanatumika kwakujua au kutojua na maadui wa kiislamu kufikia malengo yao ya kuupiga vita uislamu.

Mfano mzuri angalia lugha anayoitumia huyo mwenzako utajua hayo makundi na wafuasi wao ni watu wa aina gani...

Kama unabisha,weka hapa taarifu ya jihadi kisheria. Sharti zake taratibu na vizuizi vyake tuvijadili halafu uone hao kilaabu nnaar kama Kuna wanachotekeleza Kwa mujibu wa Sheria za kiislamu.
sasa wewe ambaye unasema wanauchafua uislam si ndiye ungeonesha hivyo wanavyouchafua? naona umekalia mipasho na vineno vya kukaririshwa kama kasuku mara kilab nnaar mara khawarij ukiambiwa utoe hoja huna zaidi ya kugeuzwa msukule na wanazuoni waovu wanaotumikia makafir wa kimarekani
jikomboe kifikra ewe baba mwajey
uislam sio kufuata mkumbo na ububusa
leta hoja acha kuwa mweupe kichwani
 
Unadhani uislamu unaendeshwa kama vyama vya siasa?
Uislamu una taratibu zake. Sio upuuzi unaofanywa na hao wajinga unaowasifia.
Hebu jiulize,uislamu unafaidika nini na huo upuuzi wao zaidi ya kuudhalilisha uislamu na kuupa picha mbaya Kwa wasio waislamu?
Waislamu wangapi wameathirika Kwa matendo yao ya kijinga?

Hao wanatumika kwakujua au kutojua na maadui wa kiislamu kufikia malengo yao ya kuupiga vita uislamu.

Mfano mzuri angalia lugha anayoitumia huyo mwenzako utajua hayo makundi na wafuasi wao ni watu wa aina gani...

Kama unabisha,weka hapa taarifu ya jihadi kisheria. Sharti zake taratibu na vizuizi vyake tuvijadili halafu uone hao kilaabu nnaar kama Kuna wanachotekeleza Kwa mujibu wa Sheria za kiislamu.
dini sio mipasho na ngonjera bwana Mdogo
jitahidi kujenga hoja na sio kubweka kwa vijimaneno na misimamo ya kukaririshwa na wanafiki na waovu ambao kwao damu ya muislam ni duni kuliko ya kafiri
 
Russia hatakiwi kucheka nao tena hawa watu, haribu vyanzo vyote vya nishati.

Ndio pigo za mmarekani na mwanawe myahudi.

Watoto wasiosikia unatakiwa uwafinye kweli kweli
Screenshot_20240329-125958_Chrome.jpg
 


Western Media is Finally Revealing the Truth About Ukraine: "It's Time We Talk About the Fall of Kiev"​


Hall Turner Radio Show
28 MARCH 2024
Western Media is **Finally** Revealing the Truth About Ukraine: It's Time We Talk About the Fall of Kiev


The Times newspaper in London has become the first western "mass-media" outlet to begin reporting the truth to the gullible Pro-Ukraine crowd: "It's Time We Talked About the Fall of Kiev."
The reality is finally being admitted by the Western Media, Kiev will fall to Russia.
The Op-Ed piece was published at 9:00 PM in London last night. The fact that it was even published at all, is the big takeaway; the West must finally acknowledge what people have said from even before this conflict began: "Ukraine cannot win against Russia, they don't even have a chance of winning."
Having said that on this web site and on my radio show, I was viciously criticized as a "Russian Shill" and a "Putin propagandist." I let the criticism roll-off my back and kept right on reporting the truth, no matter who didn't like it.
Last night, "The Times" of London admitted what's coming, and, instead of admitting this was a Fool's Errand from gitgo, they hurled blame . . . .
Nowhere in their Op-Ed do they even acknowledge the Ukraine fight was a Fool's Errand; doomed before it even began. Here's the gist of what "The Times" is now projecting for this coming July :

It's Time We Talk About the Fall of Kiev

Far from this being a frozen conflict, a nightmare scenario is edging into view because the West is failing to send arms

Iain Martin

Wednesday March 27 2024, 9.00pm, The Times
It is July and the Russian army is at the gates of Kyiv. President Zelensky delivers an emergency broadcast to repeat his defiant words, first uttered in February 2022, that he does not need a ride out of Ukraine. No, he needs ammunition to stay and fight the Russians.
If only the West had listened and done more when the brave Ukrainians were pleading for help, that might have made the difference. While the allies squabbled and the United States eventually provided another $60 billion in aid, as spring turned to summer, Putin’s troops broke through the lines in the south and east. Retreating Ukrainian forces were able only to slow the advance. When the Russians closed in on the capital, a new wave of . . . Full Op-Ed HERE (Paywall)


For me, the sad part of this is not so much the Western mass-media is so late to the facts; it's that they and Western government officials, never bothered to think this through, at all. Neither did NATO and neither did the "experts" in the United States Armed Forces. ****** ALL OF THEM ***** were wrong.
Their errors in assessment of Russia's response to Western effort in Ukraine, were all wrong.
Their errors in Judgment about the capabilities of Ukraine versus Russia, were all wrong, too.
Their assessments of the effectiveness of Western weapons and tactics . . . wrong as well.
To cover their erroneous ineptitude, they flat-out lied to all of us. Recall how many times they told us:
Sanctions will collapse Russia. Oops, wrong.
Russia's military are all incompetent drunks. Oops, wrong.
Russia is running out of missiles. Wrong.
Russia is running out of ammunition. Wrong.
Russia is running out of tanks. Wrong.
Putin will be overthrown by the Russian people. Wrong.
Putin is dying of cancer. Wrong.
Putin is dying of Parkinson's Disease. Wrong.
The list is almost endless, and every claim they made about Putin, about Russia . . . . ALL OF IT was wrong.
The fact that these so-called "experts" got so much wrong, so often, proves they are incompetent.
The fact they still draw paychecks, is a sin.
Every single one of the military and civilian people in the West who pushed for this war, who lied about what was happening, should be fired. ALL of them.
What we are all seeing here, I think, is The DUNNING-KRUGER Effect.
The Dunning–Kruger effect is defined as the tendency of people with low ability in a specific area to give overly positive assessments of this ability. This is often seen as a cognitive bias, i.e. as a systematic tendency to engage in erroneous forms of thinking and judging.
In the case of the Dunning–Kruger effect, this applies mainly to people with low skill in a specific area trying to evaluate their competence within this area. The systematic error concerns their tendency to greatly overestimate their competence, i.e. to see themselves as more skilled than they are.
In the case of the Russia-Ukraine situation and conflict, the judgment of our so-called "experts" was devoid of logic. Their assessments were delusional. Their job performance has been a total failure.
The total failure of their work caused upwards of one million troops to be killed counting both sides.
What price will our so-called "experts" pay for doing something that got a million people killed
 
amepachika uongozi
Russia anashughulika na wanaowatumq militia wa Kiev. Ndiyo maana, uongozi wa baadhi ya nchi za Magharibi umepata misukosuko.
==
Unadhani:
1. Boris Johnson alitaka kuondoka pale Ofisi na 10 pale Uingereza ?

2.Mario Draghi alifurahi kuachiwa uwaziri Mkuu wa Italy 2022, October?

3.Christine Lambrecht unadhani alipenda kuachiwa uwaziri Mkuu wa ulinzi wa shirikisho la Ujerumani, 2023 January?

4.Mateusz Morawiecki wa Poland alikosa kura za kutokuwa na imani naye na kisha kutimuliwa 2023 December kwa furaha?

5. Anthony Michael Gerard Rota alibubujikwa na machozi ya furaha kwa kujiuzulu uspika wa wa Bunge la Canada 2023 September 27?

Mitikisiko ipo mingi EU na Magharibi kwa ujumla kutokana na shughuli ya kuwashughulikia kwa mbinu ya "assimetry" kwa watumao militia wa Kiev!!!
===
NATO wanaendelea kupata kipondo na wengine kukimbia uwanja wa mapambano huko Mashariki mwa Ukraine.
 
Baada Israel kuanza kutumia vikundi vya kigaidi Kishambulia Jiji la Alepo huko Syria kwa kisingizio cha kuua wanamgambo wa Hezbollah, Russia nao wameanza kuelekea Milima ya Golan pamoja na Vikosi vya Syria kwa lengo la kusaka Magaidi ISIS ambao wanaongozwa na Israel lengo ni kukamata kabisa Milima ya Golan

#BREAKING There is ossibly a sea confrontation between NATO and Russian ships in the Red Sea

The Russian Pacific fleet has entered the Red Sea, making its way to the coasts of Yemen where multiple American and British ships carry out strikes against the Houthis.

Several Russian warships have passed the Bab al-Mandab Strait into the Red Sea.
 

Attachments

  • IMG_20240329_041551.jpg
    IMG_20240329_041551.jpg
    313.1 KB · Views: 3
  • IMG_20240329_130547.jpg
    IMG_20240329_130547.jpg
    33.3 KB · Views: 5
sasa huyo Mrusi
Mpaka usemeee!!
====

Russian "Joker" FPV drones have forced a company of the Ukrainian fighters to surrender, Dmitry Kuzyakin, general director of the Center for Integrated Unmanned Solutions developer.

"Probably no one will be able to repeat this 'record.' It was not a Bradley, Humvee, or even Leopard 2, but 60 soldiers of the Ukrainian Armed Forces who had to surrender after seeing with their own eyes what mass use of FPV drones means... That is, one small drone 'captured' an entire company of Ukrainian forces," he said when asked about the most important target the Jokers hit on the battlefield.

Russian 'Joker' Drones Force Company of Ukrainian Troops to Surrender​

5 hours ago
 A Russian serviceman demonstrating drone capabilities during drills. File photo - Sputnik International, 1920, 29.03.2024


Kuzyakin explained that currently, the Ukrainian military is in a classic line of defense, expecting "conventional warfare."

"Our fighters, whom we trained and equipped, instead of starting to 'play by the rules,' didn't engage into battle, but let FPV operators come into play, which immediately 'unraveled' the second line of Ukrainian defense. Ukrainian soldiers on the front line realized that resistance was simply pointless. Their mass surrender is the main trophy in the work of our Center [for Integrated Unmanned Solutions]," the developer said.
The bureau provides a full cycle of FPV system combat applications: it produces drones, trains operators how to fly them, and how to use them effectively.
A Russian FPV drone. File photo - Sputnik International, 1920, 17.03.2024
Military
 
Russia anashughulika na wanaowatumq militia wa Kiev. Ndiyo maana, uongozi wa baadhi ya nchi za Magharibi umepata misukosuko.
==
Unadhani:
1. Boris Johnson alitaka kuondoka pale Ofisi na 10 pale Uingereza ?

2.Mario Draghi alifurahi kuachiwa uwaziri Mkuu wa Italy 2022, October?

3.Christine Lambrecht unadhani alipenda kuachiwa uwaziri Mkuu wa ulinzi wa shirikisho la Ujerumani, 2023 January?

4.Mateusz Morawiecki wa Poland alikosa kura za kutokuwa na imani naye na kisha kutimuliwa 2023 December kwa furaha?

5. Anthony Michael Gerard Rota alibubujikwa na machozi ya furaha kwa kujiuzulu uspika wa wa Bunge la Canada 2023 September 27?

Mitikisiko ipo mingi EU na Magharibi kwa ujumla kutokana na shughuli ya kuwashughulikia kwa mbinu ya "assimetry" kwa watumao militia wa Kiev!!!
===
NATO wanaendelea kupata kipondo na wengine kukimbia uwanja wa mapambano huko Mashariki mwa Ukraine.

Urusi ameshindwa kushughuika na chochote baada ya kuangikia pua alipojaribu kuparamia Kyiv, leo hii Urusi imeingia hasara ambayo inegitumia Afrika ingeteka zaidi ya mataifa kumi, hako kainchi ka Ukraine kamevimba hadi raha tu...takbirr
 
Mpaka usemeee!!
====

Russian "Joker" FPV drones have forced a company of the Ukrainian fighters to surrender, Dmitry Kuzyakin, general director of the Center for Integrated Unmanned Solutions developer.

"Probably no one will be able to repeat this 'record.' It was not a Bradley, Humvee, or even Leopard 2, but 60 soldiers of the Ukrainian Armed Forces who had to surrender after seeing with their own eyes what mass use of FPV drones means... That is, one small drone 'captured' an entire company of Ukrainian forces," he said when asked about the most important target the Jokers hit on the battlefield.

Russian 'Joker' Drones Force Company of Ukrainian Troops to Surrender​

5 hours ago
 A Russian serviceman demonstrating drone capabilities during drills. File photo - Sputnik International, 1920, 29.03.2024


Kuzyakin explained that currently, the Ukrainian military is in a classic line of defense, expecting "conventional warfare."

"Our fighters, whom we trained and equipped, instead of starting to 'play by the rules,' didn't engage into battle, but let FPV operators come into play, which immediately 'unraveled' the second line of Ukrainian defense. Ukrainian soldiers on the front line realized that resistance was simply pointless. Their mass surrender is the main trophy in the work of our Center [for Integrated Unmanned Solutions]," the developer said.
The bureau provides a full cycle of FPV system combat applications: it produces drones, trains operators how to fly them, and how to use them effectively.
A Russian FPV drone. File photo - Sputnik International, 1920, 17.03.2024
Military

Unateseka sana na hizi copy pasting zako, Ukraine wananipa raha sana, yaani miarabu yote imejaribu kuisaidia Urusi lakini wapi.....
 
Kila upande ukiamua kuleta taarifa zinazofurahisha na kuegemea upande wake tu, hakuleti objectivity machoni pa msomaji asie na upande, bali kunaleta confusion.

Mtoa taarifa ni sehemu ya taarifa anayoitoa. Ndio maana kuna utofauti kati ya analyst na propagandist. Huyo wa kwanza anatafiti kisha ndipo anatoa taarifa au maoni yake akiwa open-minded. Huyo wa pili yake hahitaji huo mchakato.

Kila upande ukileta taarifa sahihi kutoka pande zote bila kuegemea upande wenye maslahi kwake tu, kunasaidia kujenga uaminifu (credibility) machoni pa msomaji asiyefungamana na upande mmoja. Pia kunachochea mijadala ambayo ni objective, hivyo msomaji anafaidika zaidi.

Mimi ni pro-Facts. Haya ni maoni yangu kutokana na utafiti wangu mdogo nilioufanya hadi sasa.
Uko sawa lkn katika vita hii hli Iko tofauti na usemavyo.
Hata huko kwao wenyewe Ukraine a NATO wanaripoti habari zile nzuri kwao TU,halikadharika na Urusi wanaripoti habari nzuri TU kwao.
Ila tuonbe Mungu vita viishe TU.
Katika Uzi huu mtu hawezi kua nyutro ndugu yangu.Haya ni maoni yangu pia.
 
Hizi copy pasting ndugu hazisaidii kitu, no one even bothers to read them, mpaka sasa huyo Mrusi alipaswa awe amepachika uongozi wake Kyiv, imeshindikana, ametumia mpaka hypersonic missiles ila wapi.
Man come down. Unafikiri russia wangeamua kufanya kama israel wanavyofanya kule gaza huyo zeleskky angekuwa bado yupo pale. Yaani russo wanaendesha hili kwa upole wa kiwango cha juu sana.
 
Uko sawa lkn katika vita hii hli Iko tofauti na usemavyo.
Hata huko kwao wenyewe Ukraine a NATO wanaripoti habari zile nzuri kwao TU,halikadharika na Urusi wanaripoti habari nzuri TU kwao.
Ila tuonbe Mungu vita viishe TU.
Katika Uzi huu mtu hawezi kua nyutro ndugu yangu.Haya ni maoni yangu pia.
Ila kule RT TV Mrusi akipigwa anaonesha habari kama ilivyo.
 
Back
Top Bottom