zaporizhzhia

Zaporizhzhia (Ukrainian: Запоріжжя, IPA: [zɐpoˈr⁽ʲ⁾iʒːɐ] (listen)) is a city in south-eastern Ukraine, situated on the banks of the Dnieper river. It is the administrative center of the Zaporizhzhia Oblast (region). Zaporizhzhia has a population of 710,052 as of 1 January 2022.
Zaporizhzhia (lit. Below-The-Rapids) is known for the historic island of Khortytsia; multiple power stations including
Zaporizhzhia Nuclear Power Plant (the largest nuclear power station in Europe), Zaporizhzhia thermal power station and
Dnieper Hydroelectric Station and for being an important industrial center. Steel, aluminium, aircraft engines, automobiles, transformers for substations, and other heavy industrial goods are produced in the region.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Wanajeshi wa Ukraine wazidi kupenya ndani ya eneo la Zaporizhzhia

    Warusi waendelea kufukuziwa na kuuawa kwenye nchi ya watu... Ukrainian troops are moving deeper and deeper into Zaporizhzhia Oblast and are storming Novoprokopivka, a front-line village 1.5 km south of Robotyne. Source: Institute for the Study of War (ISW) Details: According to military...
  2. Askarimaji

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...
  3. Mbaga Lazaro

    Mzozo wa Ukraine: Wakaguzi wawasili kwenye kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia

    Wakaguzi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki wamefika katika kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhia kusini mashariki mwa Ukraine, shirika la habari la Reuters linaripoti. Mwandishi wa habari kutoka shirika la habari aliwaona maafisa Umoja wa Mataifa wakiwasili kwenye mtambo huo wakiwa...
  4. S

    Makomandoo 60 wa Ukraine wafanya shambulizi la kushtukiza kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

    Marekani yaripoti kuwa makomandoo 60 wa Ukraine leo asubuhi wamejaribu kufanya shambulio la ghafla la kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia uliopo Ukraine unaomilikiwa na majeshi ya Urusi toka mwezi March. Urusi imewanywa wotee. Jaribio hilo lililofeli limefanyika wakati wataalamu wa...
Back
Top Bottom