volodymyr zelensky

Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy (Ukrainian: Володимир Олександрович Зеленський, pronounced [woloˈdɪmɪr olekˈsɑndrowɪdʒ zeˈlɛnʲsʲkɪj]; born 25 January 1978) is a Ukrainian statesman, former actor and comedian who has been serving as the president of Ukraine since 2019. He gained worldwide recognition as the wartime leader of Ukraine during the Russian invasion of Ukraine.Zelenskyy grew up in Kryvyi Rih, a Russian-speaking region in southeastern Ukraine. Prior to his acting career, Zelenskyy obtained a degree in law from the Kyiv National Economic University. He then pursued comedy and created the production company Kvartal 95, which produces films, cartoons, and TV shows including Servant of the People, in which Zelenskyy played the role of president of Ukraine. The series aired from 2015 to 2019 and was immensely popular. A political party bearing the same name as the television show was created in March 2018 by employees of Kvartal 95.
Zelenskyy announced his candidacy for the 2019 Ukrainian presidential election on the evening of 31 December 2018, alongside the New Year's Eve address of President Petro Poroshenko on 1+1 TV Channel. A political outsider, he had already become one of the frontrunners in opinion polls for the election. He won the election with 73.2 per cent of the vote in the second round, defeating Poroshenko. Identifying as a populist, he has positioned himself as an anti-establishment, anti-corruption figure.
As president, Zelenskyy has been a proponent of e-government and unity between the Ukrainian-speaking and Russian-speaking parts of the country's population. His communication style heavily utilises social media, particularly Instagram. His party won a landslide victory in a snap legislative election held shortly after his inauguration as president. During his administration, Zelenskyy oversaw the lifting of legal immunity for members of the Verkhovna Rada, Ukraine's parliament, the country's response to the COVID-19 pandemic and subsequent economic recession, and some progress in tackling corruption. Critics of Zelenskyy claim that in taking power away from the Ukrainian oligarchs, he has sought to centralise authority and strengthen his personal position.Zelenskyy promised to end Ukraine's protracted conflict with Russia as part of his presidential campaign, and attempted to engage in dialogue with Russian President Vladimir Putin. Zelenskyy's administration faced an escalation of tensions with Russia in 2021, culminating in the launch of an ongoing full-scale Russian invasion in February 2022. Zelenskyy's strategy during the Russian military buildup was to calm the Ukrainian populace and assure the international community that Ukraine was not seeking to retaliate. He initially distanced himself from warnings of an imminent war, while also calling for security guarantees and military support from NATO to "withstand" the threat. After the commencement of the invasion, Zelenskyy declared martial law across Ukraine and general mobilisation.

View More On Wikipedia.org
  1. Alwaz

    Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

    Hapo juzi waziri wa mambo ya nje wa Urusi ,Lavrov akiwa New York alikumbusha kwa masikitiko mengi kuwa Marekani wakisaidiwa na Uiengereza sasa hivi wako vitani rasmi na taifa lake la Urusi. Kauli yake hiyo inazidi kuungwa mkono na misimamo ya Marekni pamoja na matamshi yao ambapo Rais Biden...
  2. Mmawia

    Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

    Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako. Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma. Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure. Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana...
  3. Alwaz

    Huku vifaru vikipelekwa Ukraine. Zelensky asema anataka ndege na mizinga ya masafa marefu

    Baada ya kilio cha muda mrefu na kutegeana kwa mataifa ya magharibi yanayoisaidia Ukraine kupambana na Urusi hatimae mataifa hayo yamekubali kuipelekea Ukraine ilichodai kwa muda mrefu navyo ni vifari vya Leopard kutoka Ujerumani na Abrahms kutoka Marekani. Hata hivyo muda mfupi baada ya...
  4. Mocumentary

    FIFA wakataa ombi la Zelensky la Kuhutubia kabla ya Fainali za Kombe la Dunia ili kuhamasisha Amani

    Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) linadaiwa kuwa limekataa ombi la Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kutaka kuhutubia kabla ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Dunia kati ya Argentina na Ufaransa siku ya Jumapili kuchezwa, ichezwe video yake uwanjani hapo ili kuhamasisha amani. Zelensky...
  5. Alwaz

    Kherson yapokea mvua ya makombora ya Urusi. Zelensky asema Urusi hajui kupigana

    Zaidi ya watu 10 wa Kherson Oblast wamekufa baada ya makombora kudondoka kwenye mji uliotajwa kukombolewa na Ukraine wiki 2 zilizopita. Urusi iliwataka watu wote waondoke upande wa kulia wa mto Dnipro na hatimae na majeshi yake yakaondoka upande huo ambapo majeshi ya Ukraine yaliingia kwa...
  6. DeepPond

    Zelensky: Ukraine inapoteza wanajeshi 60 - 100 kwa siku

    Raisi Zelensky usiku wakuamkia leo Amesema nchi yake inapoteza wanajeshi 60-100 kila siku kwenye mapambano yanayoendelea nchini kwake. Amezungumza hayo katika mahojiano yake na kituo Cha television Cha NEWSMAX TV CHANNEL kuhusiana na Hali ya Vita mashariki mwa Ukraine. Zelensky alisisitiza...
  7. beth

    Zelensky: Acheni kucheza na Urusi, vikwazo zaidi viwekwe

    Rais Volodymyr Zelensky ameyataka Mataifa ya Magharibi kuacha michezo na kuiwekea Urusi vikwazo vikali ili kumaliza vita, akisisitiza Ukraine itabaki kuwa Nchi Huru Siku za hivi karibuni, Zelensky amekuwa akikosoa vikali Nchi za Magharibi huku Vikosi vya Urusi vikijaribu kudhibiti Miji miwili...
  8. JanguKamaJangu

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema Urusi inatumia silaha dhaifu katika vita

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky anasema Urusi inatumia silaha zisizo na nguvu dhidi ya Nchi yake ni ishara ya kushindwa kwao. Amesema hayo baada Makamu Naibu Waziri Mkuu wa Urusi, Yury Borisov kudaia kuwa wana teknolojia yenye uwezo wa kuangusha ndege zisizo na rubani kwa umbali wa Kilometa...
  9. TODAYS

    Zelensky aonya kuwa Dunia inapaswa kuwa tayari kwa uwezekano wa Urusi kutumika silaha za nyuklia

    Hii ni kauli ya rais wa Ukraine ndugu Volodymyr Zelensky alipokuwa anahojiwa juu ya vita inayoendela kwamba mwamba anaweza kugeukia silaha za nyuklia au za kemikali kwa sababu hathamini maisha ya watu wa Ukraine. "Sio mimi tu bali ulimwenguni wote, nchi zote lazima ziwe na wasiwasi kwa sababu...
  10. joto la jiwe

    Kenya nayo yaitetea Urusi, yaungana na Tanzania na nchi nyingine za Afrika

    Hongereni wakenya kwa kuanza kujitambua na kuacha kuendeshwa na nchi za magharibi. Ushauri wangu kwenu na viongozi wenu ni kwamba, kabla hamjachukua uamuzi wowote katika ngazi za kimataifa, ni vizuri mkashauriana na Tanzania ili kuepuka aibu na fedhea Kama hii. Dunia inashindwa kuwaelewa...
  11. Analogia Malenga

    Zelensky: Kufeli kwa mazungumzo kutamaanisha 'Vita vya Tatu vya Dunia'

    Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa anaamini kushindwa kufanikisha mazungumzo ya kumaliza uvamizi wa Urusi kutamaanisha "vita vya tatu vya dunia". Akizungumza na CNN Jumapili, Zelensky alisema yuko tayari kuzungumza moja kwa moja na Rais wa Urusi Vladimir Putin, akiongeza kuwa...
  12. Askarimaji

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...
  13. S

    Zelensky wa Ukraine afananishwa kiwasifuna Al-Sahaf (Baghdad Bob) wa Iraq

    Kama ulikuwepo kipindi cha vita ya pili ya Marekani nchini Iraq (2003 - 2011), inawezekana utamkumbuka Baghdad bob, Mohammed Saeed al-Sahaf, ambae alikuwa ni Waziri wa Habari wa Iraq na wakati huo huo ni mugizaji (part-time comedian). Hadi hatua za mwisho mbaya wa kuanguka kwa serikali ya Iraq...
  14. Kasomi

    Mfahamu Volodymyr Zelensky, Rais wa Ukraine

    Volodymyr Oleksandrovych Zelensky (alizaliwa 25 Januari 1978) ni mwanasiasa, mwandishi wa filamu, mwigizaji wa filamu, mchekeshaji na rais wa sasa (wa 6) wa Ukraine toka 20 Mei 2019. Kabla ya kujihusisha na siasa, alipata shahada ya sheria na baadaye akaanzisha kampuni ya filamu, katuni na...
Back
Top Bottom