Team moja hapa kuna kitu inashindwa kuelewa.

Hakuna Cleansheet kwenye mapigano hasa yanayohusisha silaha. Hatukatai kua Russia anapoteza wanajeshi au vifaa vyake vya kivita. Isipokuwa mkiamua kujigamba juu ya hilo basi leteni data amilifu.

Inaweza kua sawa wakati wa mapigano kupika taarifa either kupandisha morali n.k lakini taarifa ikipikwa mbali zaidi kuliko uhalisia inakosa mashiko.

Taarifa mnazileta kwa watu wenye akili timamu sio wenda wazimu, it's ok 0.005 mnaweza kuikadiria kua 0.01 lakini 0.005 kua 2 ni habari nyingine.

Nasisitiza kua hakuna Cleansheet kwenye uwanja wa mapigano, Ushindi unatafsiriwa kwa matokeo ya mwisho.

Sikumbuki lini na wapi niliposikia kua Kharkov imechukuliwa na Russia, ila inafurahisha masikio yangu kusikia kua Kharkov imekombolewa kutoka kwa Jeshi la Russia.

Tunataka kusikia ushindi wa kama hivi;
Ukraine kakomboa Jeshi lake pale Mariupol waliojificha kiwandani.

Ukraine imekomboa Snake Island hivo kurejesha utawala ndani ya Black Sea.

Ukraine imerejesha bandari yake na kuweza kuendelea kufanya export ya bidhaa zake nje.

Ukraine imerejesha Kherson na vitongoji vyake.

Ukraine imeliondoa Jeshi lote la Russia ikiwezekana kuipiga Russia nchini kwake.

Like that,

Kinyume chake thread imekuwa ya kitoto hapana mfano.

But what's the point of claiming to be a Winner kila siku mwenzio ana advance kwa kuchukua maeneo kila kukicha. Hivi sasa a quarter ya eneo lote la Ukraine liko chini ya jeshi la Russia.

Hatuezi pia kusema kua Russia kashinda vita wakati bado mapigano yanaendelea.

Na we can't say Ukraine is totally defeated wakati bado wanapigana.

What we can say na kuthibitisha ni kua Russia is advancing kwenye Operation yake. Only that kwa sasa.

Hey marafiki na waswahili wenzangu, leteni hoja tujadiliane kiutu uzima huo ushabiki haubadilishi uhalisia huko uwanja wa mapambano.
Acha kulia lia kitoto apa leta mafanikio ya Russia kwenye hii operation yake ili na sisis tuyajue tofauti na apo utakuwa unampigia mbuzi gitaa yaani wewe tuwekee mafanikio ambayo Russia kayapata kutokana na huu uvamizi wake
 
Putin si mjinga kutoa silaha zote kwa ajili ya Ukraine wakati ana maadui wengi.na ndio maana hataki tangaza vita kamili maana akitangaza vita kamili itabidi apeleke vifaa haswa kwani Ukraine ataweza saidiwa ground na nchi yoyote ile

Kingine Urusi hana marafiki, China,Cuba, Vene, NKorea,Iran wamekaa kimya kama hawaoni

Interesting.. Nikisoma majenerali wa Marekani wanashangaa kwa nini Warusi hawakujifunza kutumia jeshi la anga kwa namna ya kisasa.

Maana siku ya kwanza walishindwa kumaliza roketi zote za SAM na baadaye walidungwa na Javelin, hivyo hatuoni tena ndegevita za Urusi katikati na maghribi mwa Ukraine.

Kinyume chake ndege za Ukraine bado ziko, kama juzi walishambulia hadi Kisiwa cha Nyoka, ingawa ndegevita za Ukraine si za kisasa....
 
Mkuu acha kujifariji na story zako.
Hii Dunia inahistoria ndefu na ilishakaliwa na wababe wengi kwa nyakati tofauti.
Kjlishakuwa na dola ya kigiriki kkafanya zake kwa kiwango cha ubabe wake ikaanguka na kupita kwa zama zake. Kulikiwa na Dola la Kirumi kwa wakati waka likafanya yake kwa u babe wake na likapita kutokana na zama zake.
Bahati mbaya huyo Mrusi hakuwai kufikia viwango vya wababe hao wa dini yeye akiwa na USSR hakuweza kuiconka hii planet A kwani hakubahatika kuwa na vigezo vya kutosha.

Kwa sasa ukubali ukatae hizi ni zama za USA na hilo halina ubishi na huyu mwamba US hakuwai onyesha kucha zake mkajua Uimara wake. Laiti nakwambia Siku kima mmoja akajichanganya eidha kwa bahati mbaya au makusudi ndio mtajua ni kwanini mnyama US huwa hataki kupigana moja kwa moja.
Kama ulisha wai sikia B2 na siku zikaambiwa ziingie mzigoni, hapo bado hujagusa mizigo mingine toka bahari tofautitofauti.

Binafsi tunapoizungumzia Urusi tunapaswa ukilinganisha na kina UK, France, Germany, Korea na China. Ila huyu Mnyama US tumwache kabisa kwani hapo hatuzungumzi Nuclear power kisha tukaishia hapo na kuanza kutishana.
US ni mambo ya Economy, Tec, Intelligence nk.

Kwa sasa tuendelee kutazama hii filamu na kuinjoi jinsi Mbuzi anavyomtafuna MBWA Polepole kwa raha zake
Unaandika kwa hisia kali sana huku ukiandika porojo tu.
Ni mahaba niue yanakufanya uandike haya.

Mwenzako nilimuuliza USA akishawahi kupambana na nani akashinda!? Mnabakk kutuketea ngojera mara ho!! Tubishane mara oh!! Sijui nini.

Mimi nataka ulete taarifa zako hizo kwa evidences. Mimi nakupiga kwa fimbo za knowledge siyo hisia.
Kwanza tunaanza na Wagriki. Hivi unajua boundaries za utawala wa ugriki!? Wale wakiishia mashariki ya kati tu mwanangu. Hata huku africa hatuna hata harufu ya wagriki.

Urusi ilikuwepo miaka na miaka. Na itaendelea kuwpo sana.

Kwanza unatakiwa ujue kuwa Russia ni nchi inayojitosheleza kwenye natural resources. Haihitajj kwenda kwenye nchi zingine dhaifu ili kuiba mali zao.

Unaongelea USSR ya juzi tu. Mwanangu nakusihi jifunze kuhusu urusi na upate kuijua.

Nakupatia mfano wa hivi karibuni tu. Mgogoro wa Syria, USA na wenzake walitaka kuleta mapinduzi. Lakini mzee Russia alipoingia pale wote waliufyata mkia. Sijajua kama wewe ni mfuatiliaji wa Geopolitics.

Basi ngoja tuachane na Syria. Tuongekee Venezuela. Hawa hawa USA walitaka kuleta mapinduzi. Lakini mzee wa siku Russia akatia timu tena wazi wazi hao USA wakaufyata mkia wakabaki kubwekea tu kwenye CNN, BBC na Aljazeera.

Sehemu yoyote Russia akitia timu USA lazima akimbie.

Nakushangaa unaongelea B2 Bomber. Mwanangu nadhani hufuatilii issue za international weapons. Russia anakudungua akiwa amekaa home. Anakupiga huko huko kwako bila kutumia ndege.

Nikutoe tongotongo tena. Unajua Arctic Ocean!? Mzee huko Russia kapakana na USA, Canada na wengine. Huko Russia anatumia ubabe kuchukua maeneo ya USA na Canada. Hakuna yoyote anayeweza kukoroma. Maana Russia is the father of this planet.

Nakusubiri ulete hoja ya nguvu ili tuweze jadiliana.
 
Team moja hapa kuna kitu inashindwa kuelewa.

Hakuna Cleansheet kwenye mapigano hasa yanayohusisha silaha. Hatukatai kua Russia anapoteza wanajeshi au vifaa vyake vya kivita. Isipokuwa mkiamua kujigamba juu ya hilo basi leteni data amilifu.

Inaweza kua sawa wakati wa mapigano kupika taarifa either kupandisha morali n.k lakini taarifa ikipikwa mbali zaidi kuliko uhalisia inakosa mashiko.

Taarifa mnazileta kwa watu wenye akili timamu sio wenda wazimu, it's ok 0.005 mnaweza kuikadiria kua 0.01 lakini 0.005 kua 2 ni habari nyingine.

Nasisitiza kua hakuna Cleansheet kwenye uwanja wa mapigano, Ushindi unatafsiriwa kwa matokeo ya mwisho.

Sikumbuki lini na wapi niliposikia kua Kharkov imechukuliwa na Russia, ila inafurahisha masikio yangu kusikia kua Kharkov imekombolewa kutoka kwa Jeshi la Russia.

Tunataka kusikia ushindi wa kama hivi;
Ukraine kakomboa Jeshi lake pale Mariupol waliojificha kiwandani.

Ukraine imekomboa Snake Island hivo kurejesha utawala ndani ya Black Sea.

Ukraine imerejesha bandari yake na kuweza kuendelea kufanya export ya bidhaa zake nje.

Ukraine imerejesha Kherson na vitongoji vyake.

Ukraine imeliondoa Jeshi lote la Russia ikiwezekana kuipiga Russia nchini kwake.

Like that,

Kinyume chake thread imekuwa ya kitoto hapana mfano.

But what's the point of claiming to be a Winner kila siku mwenzio ana advance kwa kuchukua maeneo kila kukicha. Hivi sasa a quarter ya eneo lote la Ukraine liko chini ya jeshi la Russia.

Hatuezi pia kusema kua Russia kashinda vita wakati bado mapigano yanaendelea.

Na we can't say Ukraine is totally defeated wakati bado wanapigana.

What we can say na kuthibitisha ni kua Russia is advancing kwenye Operation yake. Only that kwa sasa.

Hey marafiki na waswahili wenzangu, leteni hoja tujadiliane kiutu uzima huo ushabiki haubadilishi uhalisia huko uwanja wa mapambano.
Ukitaka ustaarab kujadiliana mwenzetu hapa sio mahala pake, umezungumza vizuri ila sio ajabu kuna mtu atakutukana hapa.

JF ya sasa sio ya miaka hiyo. Kumejaa utoto na upuuzi mwingi sana mzee...
 
Sasa ata kama anaumwa na ndio anakufa, basi ndo wakuogopewa huyo. Mana ashajua hana maisha so hato ona atabu kuingia kwenye nuclear war.

Cha msingi wa Afrika tulifunge kamba bara letu lisogee south pole wakidundana kwa nuclear huku yasitufike
Ushauri mzuri saana
 
What really happened at the Seversky Donets crossing?

20 hr ago

17

12

A person who says he is a Ukrainian combat engineer has already claimed the glory of destroying a whole Battalion Tactical Group and killing 1500(!!!) Russian soldiers at a river crossing near Belogorovka. Ukrainian propaganda twitter & BrOSINT are all over it, coming up with ever higher numbers, sharing photos of the battle. What actually happened there?

Let’s take a look. This post will be a mix of my own observations, as well as a translation of the analysis provided by Greatwarchannel.

First off, some basic premises:

1) Photos and short videos with no proper geolocation & date given are inherently not representing a complete picture & even in the best case are nothing more than a snapshot.

2) We don’t know the time period over which the events depicted in such a snapshot occurred.

3) Both sides use a similar set of military equipment. It is difficult, and often impossible, to determine from the available photos and videos the identity of a particular vehicle.

4) Both sides have trophy vehicles from the other side, further complicating the analysis.

5) People pretending to be “Open Source Intelligence” specialists on Twitter are biased to a ridiculous degree, media uses them as “objective” sources, thus disproving Ukrainian war propaganda is an often thankless task of having to “defend” against the most extreme pseudo-analysis.

In addition, one side of the conflict has lied a lot more than the other side about such things, including blunders like using video game footage. If anything, you should try to be as unbiased as possible about tactical claims, but if something comes from the side that posts ArmA 3 videos, some extra scrutiny is in order.

[https://substackcdn]Photo 1

There’s something interesting in Photo 1, namely wreckage of BMP-1s (1, 2 and 4) and also turrets torn off by ammo detonations, from the same type of vehicle (3 and 6)

Another interesting exhibit is 5, which looks like a BTR-D.

BTR-Ds are used by the Russian Airborne Forces, but Ukrainian air and ground forces also have them. The Donbass republics also captured several of them as trophies.

As for the BMP-1s, everything is more interesting. The Russian Army no longer uses the base variant of the BMP-1. They use BMP-1AM "Basurmanin" and BRM-1K, but both of them differ in combat compartment, and here we can clearly see the small single turrets of BMP-1.

The BMP-1 is, however, in service with the LPR and DPR People's Militias.

[https://substackcdn]Photo 2

On this photo, we can see a bunch of BMP-1s. Numbers 6, 7, 11, 12, 20, 21, 15, 16 and 19 are clearly identifiable. A turret can be discerned around 12. Nine pieces, plus three in the previous shot. Twelve BMP-1s. Yes, number 6 is a BMP-1, it is better visible in another shot.

This cannot be ascribed to a random battlefield trophy the Russian army picked up.

The gem of this frame is number 10, which with a high degree of probability is none other than the Ukrainian "armored ambulance" based on the MT-LB, namely the MT-LB C, which has been supplied to the AFU since 2015. According to open data, the AFU has about 70 vehicles of this type, which is not that rare.

The nine is clearly an old "motolyga" (MT-LB) which has a small turret.

Numbers 8, 13, 17, 18 and 14 are harder to identify. Most likely these are machines of MT-LB family, number 13 even has a small turret.

Next slide.

[https://substackcdn]Photo 3

We continue counting BMP-1s.

Numbers 23, 25, 27, 28, 29, and 30. Twelve BMP-1s plus six more, that's eighteen! Too many to be a coincidence.

Also another MT-LB, number 22.

[https://substackcdn]Photo 4

Seven more BMP-1s: 31, 32, 33, 34, 35, 37, 41. Already twenty-five of them.

41, 31 and 35 have visible invasion marks, thus proving that they most likely belong to the Allied Forces of Russia & the Donbass republics (probably the latter, or actually Russian trophies). This, of course, begs the question why all the other BMP-1s, even those in reasonably “good” condition, don’t have invasion marks if they’re supposed to be Russian?

Number 36 is another MT-LB, looks like the turret was also blown off.

Number 38 is not clearly identifiable.

Numbers 39 and 40 are T-72 tanks, possibly the B modification. Both look mostly undamaged. We’ve called the war a “Late Soviet Tech Genocide” before, most of the vehicle losses are among the APCs and IVFs.

[https://substackcdn]Photo 5

Number 42 is a Kamaz 8x8 with a pontoon.

Numbers 43 to 47 are various river crossing equipment, much of it used by both sides (e.g. the the PMP-60).

48 and 49 are tugboats.

Now, what does this tell us.

1) According to the composition of the burned equipment, we see the presence of the Russian and Ukrainian armies, as well as forces of the LPR or DPR. We can no longer write off the entire pile as Russian casualties.

2) As can be seen from photo 5, the path there is well-traveled, which is understandable. After the bridges got blown up, such a convenient crossing place could not go unnoticed by both sides.

3) Thus we come to the most likely version of what happened at the crossing near Belogorovka. Both sides liked the place of the crossing. First the Ukrainians, but the Russian (Allied) forces suffered losses during the crossing as well.

4) The "mix" of equipment and its condition indicates that the sides fought over the crossing for some time (probably about a week) until it fell into the hands of the Allied Forces.

5) This is also indicated by Ukrainian photos and videos taken from a respectful distance. The crossing is clearly not under the control of the Ukrainian forces, otherwise the internet would have been FLOODED by close-ups of corpses and vehicles. They are notoriously prone to TikTok victories.

6) There are no bodies in the shots, which suggests that one of the parties had the opportunity to remove them.

7) The Ukrainian General Staff stated that in the evening of May 11, "The enemy is trying to seize positions on the right bank," and by the next morning "the enemy is crossing the Seversky Donets River to carry out an offensive.”

Later there were reports that Russian troops not only had not retreated from the area, but were expanding the bridgehead. It is difficult to say how large the bridgehead is now, but on May 11, judging by the published satellite images, the Seversky Donets crossing was intact. Right now, fighting is reported on the other side of the river, implying a successful crossing.

It looks like most of the fighting was done by the LPR & DPR in this area, with Russian forces carrying out the river crossing itself.

Two independent private sources on the ground have stated to me that Allied Forces vehicle losses were “around 20” and “fewer than two dozen”, respectively, with casualties between 30 and 50.

Subscribe to RWA Samizdat

By Russians With Attitude · Launched a year ago

Exclusive Samizdat Translations

Subscribe

17

12

[https://substackcdn]

[https://substackcdn]

V

19 hr ago

ngl it's always pleasant to read sober, non-hysteric analysis

6Reply

[https://substackcdn]

Citizen Satirist (CS)

Writes COVIDsteria + Tales From the Gr… ·19 hr ago

How can you talk about Seversky Donets when the real story is how the Ukrainians have completely surrounded the invading Russians and Zelensky is right now marching on Moscow to overthrow Putin?!!! ;)

Tales From the Great Reset: Inside a Ukraine Propaganda Brainstorming Session

- Ukrainian propaganda needs a Great Reset. I secretly sat in on a Ukrainian propaganda brainstorming session with Goebbelsky's new team as they try to come up with new ideas for starting World War III!


Tales From the Great Reset: I Went to the Ukraine to Play Call of Duty and Get Laid, But Got Banged Up Abroad Instead

- American Chad, a veteran of General Milley’s woke army, joined a Reddit battalion to fight in Ukraine & get laid; but he got more than he bargained for. This is his story of getting banged up abroad.


2Reply

10 more comments…

TopNewCommunity

"Bohemicus" on the UkraineA popular Russian blogger's historical, cultural & geopolitical analysis of what's happening in Ukraine, written well before the war

Mar 17

21

14

The Small Life of Stuart Calvin Zabuzhko (by K. Krylov)Translation of a story by late Russian writer Konstantin Krylov, published in 2003 under the nom de plume Mikhail Kharitonov.

Apr 8

11

10

D. Galkovsky: "Good Bye, America!""Ultimately, it is America itself that is "on the cusp" and the question of the future world hegemon is now being decided. It turns out that the U.S. is…

Jan 4, 2021

4

1

See all

Ready for more?

Subscribe

2022 Russians With Attitude

Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice

Publish on SubstackGet the app

Substack is the home for great writing

Mnaofata propaganda pitien hapa
Analysis ya kibabe...

Ingawa hakuna kuelekezana kwa hoja hapa ni ushabiki kwa kwenda mbele
 
Game linaanza dak ya 20 ushapigwa 6 za haraka. Badala ya kujikita kurudisha magoli unajikita kupunguza speed ya kufungwa.

Dakika ya 80 ubao unasoma 8 kavu, hujarudisha goal unajisifu kupunguza speed ya kufungwa kwamba toka dk ya 21 hadi 80 opponent kafunga mawili tu kisha ukijinadi kama ni udhaifu wa team unayocheza nayo.

Then unatangaza ushindi huku upo nyuma kwa deficit isiyo ya kawaida.

Duh Huko ndio Great thinker wa JF mlikofika, its amazing. Hongereni kwa kweli.


Nakuvutia picha na kiroho chako kidogo ukijaribu kutoa mfano , hapa huezi kueleweka jomba bila kujichetua akili kusifu yaliyopo.
 
Hakua uvamizi mzee. Ingekuwa ni uvamizi ungeona hao Ukraine wanatupa mizinga na kurusha ndege za makobora ndani ya urusi. NATO na Ukraine wanajua kabisa WHO IS RUSIA.
Russia is the father of this World. Russia angekuwa na kihere here kama mmarekani nakuhakikishia dunia hii ingekuwa tofauti kabisa.

Russia yupo kimya anajaribu kuwaeleza kwa upole kabisa, kwamba achaneni na mpango wenu wa viwanda vya kibiolojia karibu na nchi yangu. Fanyieni hata popote lakini msisogee kwangu. Hawaelewi. Anawatahadharisha NATO kwamba acheni kuongeza eneo lenu upande wa mashariki. Hawasikii.

Mkianza kula kichapo msianze kulia lia tena. Father is in the House anafundisha adabu watoto.

Nakuhakikishia kihere here kinvyozidi kupamba moto utamsikia Poland na Moldova wanakula kibano. Msilie maana Urusi huwa anatoa angalizo kabla ya kuanzisha kichapo.

Bado anawaonya hawa Finland na Sweden. Kuna kipondo kitamwangukia mtu. Wewe subiri tu.

Na unatakiwa uache kulia. Maana zege mlilikoroga wenye, huwa halilali.

Nakusihi tu uendelee kunywa mtori nyama zipo chini.
Umeongea kishabiki sana kama wazee wa kahawa, hauna detailed information kujenga mantic ya hoja yako
 
Unaandika kwa hisia kali sana huku ukiandika porojo tu.
Ni mahaba niue yanakufanya uandike haya.

Mwenzako nilimuuliza USA akishawahi kupambana na nani akashinda!? Mnabakk kutuketea ngojera mara ho!! Tubishane mara oh!! Sijui nini.

Mimi nataka ulete taarifa zako hizo kwa evidences. Mimi nakupiga kwa fimbo za knowledge siyo hisia.
Kwanza tunaanza na Wagriki. Hivi unajua boundaries za utawala wa ugriki!? Wale wakiishia mashariki ya kati tu mwanangu. Hata huku africa hatuna hata harufu ya wagriki.

Urusi ilikuwepo miaka na miaka. Na itaendelea kuwpo sana.

Kwanza unatakiwa ujue kuwa Russia ni nchi inayojitosheleza kwenye natural resources. Haihitajj kwenda kwenye nchi zingine dhaifu ili kuiba mali zao.

Unaongelea USSR ya juzi tu. Mwanangu nakusihi jifunze kuhusu urusi na upate kuijua.

Nakupatia mfano wa hivi karibuni tu. Mgogoro wa Syria, USA na wenzake walitaka kuleta mapinduzi. Lakini mzee Russia alipoingia pale wote waliufyata mkia. Sijajua kama wewe ni mfuatiliaji wa Geopolitics.

Basi ngoja tuachane na Syria. Tuongekee Venezuela. Hawa hawa USA walitaka kuleta mapinduzi. Lakini mzee wa siku Russia akatia timu tena wazi wazi hao USA wakaufyata mkia wakabaki kubwekea tu kwenye CNN, BBC na Aljazeera.

Sehemu yoyote Russia akitia timu USA lazima akimbie.

Nakushangaa unaongelea B2 Bomber. Mwanangu nadhani hufuatilii issue za international weapons. Russia anakudungua akiwa amekaa home. Anakupiga huko huko kwako bila kutumia ndege.

Nikutoe tongotongo tena. Unajua Arctic Ocean!? Mzee huko Russia kapakana na USA, Canada na wengine. Huko Russia anatumia ubabe kuchukua maeneo ya USA na Canada. Hakuna yoyote anayeweza kukoroma. Maana Russia is the father of this planet.

Nakusubiri ulete hoja ya nguvu ili tuweze jadiliana.

IMG_2968.jpg

Kama kalinigrad mpaka leo wameshindwa ichukua kwa Mrussi sijui wataweza nini hao NATO. Hapo ni somo tosha kuonesha udhaifu wao.
 
Acha kulia lia kitoto apa leta mafanikio ya Russia kwenye hii operation yake ili na sisis tuyajue tofauti na apo utakuwa unampigia mbuzi gitaa yaani wewe tuwekee mafanikio ambayo Russia kayapata kutokana na huu uvamizi wake
Safi kabisa atuletee mienendo ya vikosi vya Russia tuone walivyokuwa bora.
 
Kitakacho fanyika Ukraine ni ile wanasema ukiwa unampiga paka ndani ya nyumba acha upenyo kidogo mlangoni ili paka apite hapo kukimbia. Maana ukifunga milango yote huku ukimtwanga na rungu huyo paka anaweza kukujeruhi. Wataalam wa mambo ya migogoro ya kimataifa pekee ndio wanao weza kuelewa hili nililo andika.

Maadam Magharibi wameingia bila kificho kumsaidia Ukraine kamwe Russia hawezi kushinda vita hii, Putin mwenyewe anajua. Kitakacho fanyika ni kutafuta namna Russia atoke Ukraine bila kudharilika sana, vinginevyo Putin hatakubali.
Umeandaka MASHUDU
 
Kweli hawana tactics???? Kumbe kama ni watu wasio na mpango, ni ajabu jinsi gani walivyofukuza jeshi la Putin kutoka Kyiv.
Na Putin alipeleka vikosi vyake ili wauawehuko Kyiv kimtindo???? Hekima, hekima kupita kiasi.
Na majenerali wa vitandani wa Ubongo wanaona ukweli (kwa sababu ni dhahiri kabisa), lakini hao wa Ukraine hawaoni kitu??? Basi tunaona marudio ya habari za Mwanzo 19,11, ambako watu "wakapigwa kwa upofu". Maajabu, maajabu matupu.
Ila siamini.

Jeshi la Russia lilifukuzwa Kiev?! I don't think so...the Russian army withdrew from areas near Kiev.

A tactical retreat...majeshi ya Ukraine yalifika kwenye maeneo kama Bucha after three days days when the Russian army had withdrwan...ila kwa propaganda west na Zele watasema the Russian army was defeated...never on Earth

The Russian army will be back in Kiev...there is no doubt about it...
 
Umeongea kishabiki sana kama wazee wa kahawa, hauna detailed information kujenga mantic ya hoja yako
Nina uhakika kisu changu kimegonga mfupa. Hapa Nkerebhuke unashusha pumzi ya moto huku unajipiga kifua.

Kijana wangu nakusihi jitahidi kujielimisha na uiruhusu akili yako itunike vizuri.

Kijana wangu. Russia ni nchi inayoogopwa sana na NATO. Nanajitahidi sana kukwepa direct conflict na Russia. Nimejaribu kumfumbua macho mdogo wako kwamba kunaeneo la Arctic Ocean. Hebu nenda kajielimishe kidogo. Hao USA na NATO ni wababe wa Africa na nchi za kiarabu. Lakini mbabe wao hao wote ni Russia.

Nimekuambia uende ukasome mgogoro uliopo huko Arctic Ocean. USA yupo NATO wapo lakini Russia kawaambia jaribuni muone. Wamebaki kuzunguka na makaratasi huko UN.

Ngoja nikua chape na nondo nyingine. Unaujua mgogoro ukiopo huko japani kwenye Kuril Islands!? Russia aliwaruhusu wajapani wawe wanaenda kutembelea huko bila VISA. Baada ya kujifanya kiherehere wamezuiliwa hawatakiwi kwenda tena kula upepo.

Kijana wangu unajua hivyo visiwa vipo karibu sana na Japani. Na japani anaendelea kupiga kelele tu kuwa visiwa ni vya kwake lakini dunia yote inaogopa maana hawataki direct conflict with Russia.

Ngoja niishie hapa nisikuchoshe maana watu wengi wenye mwandiko kama wako ni wazembe kusoma.
 
Kwakweli sikutarajia urusi kama angepata kipigo kiasi hichi,nakumbuka siku ya kwanza aliingia kyiv kwa mbwembe mara tukaambiwa ameshateka uwanja wa ndege pia tulionyeshwa bendera za urusi zikipepea siku ya kwanza baada ya hapo sjui hatma ya wanajeshi waliongia kyv ikoje,hivi bado wapo hai kweli
Urusi waWamepigwa mpaka Marekani wameanzisha "DISINFORMATION BOARD" Na director wake Nina Jankowicz kuregulate taarifa za mitandaoni na wapemewa rungu la kufuta ama kuedit taarifa yeyote.

Ni jinsi Gani Urusi anachapika mpaka wanaficha taarifa za Urusi Marekani na ulaya ..... Aseee Mungu tusaidie Urusi tumepigwa aseee
 
Back
Top Bottom