Mkuu acha kujifariji na story zako.
Hii Dunia inahistoria ndefu na ilishakaliwa na wababe wengi kwa nyakati tofauti.
Kjlishakuwa na dola ya kigiriki kkafanya zake kwa kiwango cha ubabe wake ikaanguka na kupita kwa zama zake. Kulikiwa na Dola la Kirumi kwa wakati waka likafanya yake kwa u babe wake na likapita kutokana na zama zake.
Bahati mbaya huyo Mrusi hakuwai kufikia viwango vya wababe hao wa dini yeye akiwa na USSR hakuweza kuiconka hii planet A kwani hakubahatika kuwa na vigezo vya kutosha.

Kwa sasa ukubali ukatae hizi ni zama za USA na hilo halina ubishi na huyu mwamba US hakuwai onyesha kucha zake mkajua Uimara wake. Laiti nakwambia Siku kima mmoja akajichanganya eidha kwa bahati mbaya au makusudi ndio mtajua ni kwanini mnyama US huwa hataki kupigana moja kwa moja.
Kama ulisha wai sikia B2 na siku zikaambiwa ziingie mzigoni, hapo bado hujagusa mizigo mingine toka bahari tofautitofauti.

Binafsi tunapoizungumzia Urusi tunapaswa ukilinganisha na kina UK, France, Germany, Korea na China. Ila huyu Mnyama US tumwache kabisa kwani hapo hatuzungumzi Nuclear power kisha tukaishia hapo na kuanza kutishana.
US ni mambo ya Economy, Tec, Intelligence nk.

Kwa sasa tuendelee kutazama hii filamu na kuinjoi jinsi Mbuzi anavyomtafuna MBWA Polepole kwa raha zake
Mambo ya Expendables eeenh ...punguza kuangalia movies wewe....
 
Mahaba kama Kikohozi tu huezi katu kujificha,

Utasikia "Mimi siishabikii US wala Russia nawachukia sana waonevu ila story za Russia kupigwa zinanifurahisha sana.... Ukijaribu kumsema US vibaya utaniona navyotoka shimoni nimekasirika kuja kumtetea kwa nguvu zote hata kama ni kwa kubadili maji yawe mafuta..."

Hooohooo ase ni wanafiki wa design hii wanapatikana JF tu.

High Five to them ...
@Tsh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2224164
Kama kalinigrad mpaka leo wameshindwa ichukua kwa Mrussi sijui wataweza nini hao NATO. Hapo ni somo tosha kuonesha udhaifu wao.
Yes yes. Watu wengi wakiangalia na kutazama movies za expendables na Movie za Captain America wanadhani USA ni mbambe. Akili za vijana wengi zimejazwa na fictitious information. Hawataki kukabiliana na ukweli.

Vijana hao wapo kwenye fantasy world. Wanaishi kwenye duara kubwa la ndoto. Huku ndoto hizo zikiwa na watunzi kutoka ulaya. Hawataki kabisa kufanya mambo yao kwa free mind.

Anyways, hawa NATO ni midomo midomo mireeefu kwenye media. Vita vya midomo kama wadada wa kizaramo. Ukweli ni kwamba hawa wanaiogopa Urusi kuliko kitu chochote duniani.

Ulaya wakisikia urusi wanatetemeka. Hiki kinachoendelea ni mzimu wa woga wao. Hawajiamini kila siku ni kujishitukia tu.

Unajua mzee mwoga akiwa anatoka kunywa pombe usiku. Njia nzima anapita anaimba na kuongea maneno maneno mengi. Panya akipita tu anapiga kelele unataka kuniua, huniwezi mimi. Hiyo ni jamii ya watu wa ulaya magharibi na Marekani.

Yaani wangekuwa kweli wanaubavu, basi tungewaona wanajaribu hata kurusha mchanga kwenye kakipande hako kanako milkiwa na urusi.
 
Acha kulia lia kitoto apa leta mafanikio ya Russia kwenye hii operation yake ili na sisis tuyajue tofauti na apo utakuwa unampigia mbuzi gitaa yaani wewe tuwekee mafanikio ambayo Russia kayapata kutokana na huu uvamizi wake

Mafanikio ya Ukraine wamechukua Luhansk, Donesk, Kharson, Kharkiv, Mariupol na sasa wanaelekea Moscow.

Urusi wamefurushwa ... Wamemaliza silaha ma chakula pia wanajeshi wamegoma Amri ya kupigana vita..... Hureeeeeeee hureeeeee hureeeeee Ukraine.
 
Vile vile mwanangu nataka nifumbue macho upate kuelewa. NATO iliundwa kwajili ya kupambana na Urusi.

Na hatuwezi kabisa kuanza kuongelea Ikraine pasipo kuwahusisha NATO. Maana tunawaona kihere here chao. Walianza na propaganda za kwenye media. Dunia yote imewaona walivyo wanafiki na wasema uongo. Ni watu wachache mno kwa sasa wanaoweza kuamini vyombo vya habari vya magharibi.

Wanajaribu kutuma silaha huko Ukraine lakini zinaishia mikononi mwa warusi. Ni kujitoa ufahamu tu ya mufikiri eti NATO wakianzisha vita na Urusi watashida.

Urusi ni taifa lenyenguvu sana. Technology yao ni ya kiwango cha juu. USA ya miaka ya nyuma siyo hii ya sasa. Imejaa maigizo. Ndio maana kwa sasa huko USA mambo yanaongewa tu lakini utelezaji ni sufuri. Demokrasia imeifanya nchi hiyo iwe dormant.

Hivi umewahi kwenda China wewe!?china kwa sasa ni dunia nyingine kabisa infrastructure za china akipewa USA kelele zitakuwa nyingi mno. Kwenye miji yenye infrastructures za maana ukiweka orodha ndani ya top 10 unaweza usikute hata mji wa USA.

Mwanangu dunia unabadilika kwa kasi sana. Na uelewa wa watu unakuwa mkubwa sana. Zike propaganda za wa magharibi watu wameshaanza kuzing'amua. Ni ninyi tu mmebaki kwenye old era hamtaki kubadilika.

Any ways, if you don't want to change changes will change you.

Hivi unajua kwamba only china has the vision kwamba kufika 2030 magari ya madogo nchi nzima yatakuwa yanatumia umeme!?

China kwa Urusi ni mtumwa. Na huyo china yupo kuwagonga wa magaribi kiuchumi. Na kwa mgogoro huu wa Ukraine utaiweka china juu sana kiuchumi. Huku wamagaribi wakiendelea na propaganda zao za zamani kipindi wanafanya scramble for Africa. Walituletea wapelelezi na wa missionaries ili kutupumbaza na kutuambia mila na taratibu zetu ni za kishenzi.
Mlokoz, mm sina tatizo na yote unayoyaeleza isipokuwa sijataka tu yawe sehemu ya mjadala kwa sababu historia, nia, maono na upana wa sababu za matukio yanayotokea ni mapana sana kuyaunganisha na tukio la Urusi na Ukraine katika umoja wake.
 
Andunje atulie dawa iingie.View attachment 2223479

FB_IMG_1652456822244.jpg
 
Jeshi la Tussia lilifukuzwa Kiev?! I don't think so...the Russian army withdrew from areas near Kiev...A tactical retreat...majeshi ya Ukraine yalifika kwenye maeneo kama Bucha after three days days when the Russian army had withdrwan...ila kwa propaganda west na Zele watasema the Russian army was defeated...never on Earth ..The Russian army will be back in Kiev...there is no doubt about it...
Tactical retreat ni lugha ambayo majenerali wote walipende kutumia wakati wa kukimbia. Nikisoma taarifa ya Vita kuu ya Pili, jeshi la Hitler lilifanya tactical retreat kuanzia Moscow hadi Berlin . . . .
 
Yes yes. Watu wengi wakiangalia na kutazama movies za expendables na Movie za Captain America wanadhani USA ni mbambe. Akili za vijana wengi zimejazwa na fictitious information. Hawataki kukabiliana na ukweli.

Vijana hao wapo kwenye fantasy world. Wanaishi kwenye duara kubwa la ndoto. Huku ndoto hizo zikiwa na watunzi kutoka ulaya. Hawataki kabisa kufanya mambo yao kwa free mind.

Anyways, hawa NATO ni midomo midomo mireeefu kwenye media. Vita vya midomo kama wadada wa kizaramo. Ukweli ni kwamba hawa wanaiogopa Urusi kuliko kitu chochote duniani.

Ulaya wakisikia urusi wanatetemeka. Hiki kinachoendelea ni mzimu wa woga wao. Hawajiamini kila siku ni kujishitukia tu.

Unajua mzee mwoga akiwa anatoka kunywa pombe usiku. Njia nzima anapita anaimba na kuongea maneno maneno mengi. Panya akipita tu anapiga kelele unataka kuniua, huniwezi mimi. Hiyo ni jamii ya watu wa ulaya magharibi na Marekani.

Yaani wangekuwa kweli wanaubavu, basi tungewaona wanajaribu hata kurusha mchanga kwenye kakipande hako kanako milkiwa na urusi.

Poland alisema anaingia west ukraine kwa ajili ya operation yake amefikia wapi??
 
Back
Top Bottom