Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,169
- 9,498
Majeshi ya Urusi yanakimbia Kharkiv baada ya kupewa kichapo cha mbwa koko
Kwa kweli tumekusikia boharia was jeshi la Urusi... Wametoa silaha zote zimeenda Ukraine.Putin si mjinga kutoa silaha zote kwa ajili ya Ukraine wakati ana maadui wengi.na ndio maana hataki tangaza vita kamili maana akitangaza vita kamili itabidi apeleke vifaa haswa kwani Ukraine ataweza saidiwa ground na nchi yoyote ile
Kingine Urusi hana marafiki, China,Cuba, Vene, NKorea,Iran wamekaa kimya kama hawaoni
Vile vile mwanangu nataka nifumbue macho upate kuelewa. NATO iliundwa kwajili ya kupambana na Urusi.Huenda kuna mtu ameku quote ukachanganya na mm au huenda nimeku quote ukanielewa tofauti. Siwezi kubishana kati ya USA na Urusi nani mbabe ila ninapinga Urusi kuivamia Ukraine.
Hapa kinanchonifanya niingie humu ni mada hii,
Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo.
Kama unataka tubishane kwa hoja basi wewe simama katika kutetea uvamizi wa Ukraine na mm nisimame katika kupinga uvamizi wa Ukraine lakini sio tubishane nani mbabe kati ya USA na Russia.
Hajaomba msaada tu akiomba atapewa.Putin si mjinga kutoa silaha zote kwa ajili ya Ukraine wakati ana maadui wengi.na ndio maana hataki tangaza vita kamili maana akitangaza vita kamili itabidi apeleke vifaa haswa kwani Ukraine ataweza saidiwa ground na nchi yoyote ile
Kingine Urusi hana marafiki, China,Cuba, Vene, NKorea,Iran wamekaa kimya kama hawaoni
Kumbe mtu akiwa na mtazamo tofauti na wa kwako unamblock basi makubwa.We jamaa sijakublock sababu unatumia akili na uelewa
Na bado, walikuwa wanambeza mchekeshaji.Kwakweli sikutarajia urusi kama angepata kipigo kiasi hichi,nakumbuka siku ya kwanza aliingia kyiv kwa mbwembe mara tukaambiwa ameshateka uwanja wa ndege pia tulionyeshwa bendera za urusi zikipepea siku ya kwanza baada ya hapo sjui hatma ya wanajeshi waliongia kyv ikoje,hivi bado wapo hai kweli
Taarifa ikiwa upande wa Ukraine mnasema propaganda
Propaganda hizi, alisikika mrusi wa namtumbo akisemaMajeshi ya Urusi yanakimbia Kharkiv baada ya kupewa kichapo cha mbwa koko
Ukraine says Russian forces withdrawing from Kharkiv — live updates | DW | 14.05.2022
Majeshi ya Ukraine hayana tactics ...wenzao wanarudi nyuma kimtindo Sasa ili wawazingire Sasa hao ukraine wanakimbiza utadhani wanakimbiza swala wasijue kuwa it is a trap😂😂😁😁interesting indeed
Tarakimu si ajabu, makampuni yalijaribu kujaza akiba kabla ya vikwazo kung'ata. Rudi utakapopata namba za Mei.Salam kwa wale wanaosema vikwazo vimemuathili mrusi
In April, Russian oil exports climbed by 620,000 barrels per day from the prior month to 8.1 million, back to their January and February average.
Mkuu acha kujifariji na story zako.Nilikuuliza swali una lijua bomb linaitwa
Father of All Bombs!? Nikaona unachanja mbuga. Tunapoonglea Russia unatakiwa uielewe hiyo nchi.
Ipo miaka mingi kabla hata ya USA kuwepo. Na kumekuwa na migogoro kati yake na majirani miaka na miaka. Na urusi wamekuwa wakipambana karne na karne. Je unaijua sababu ya migogoro hiyo!?
Migogoro hiyo inatokana na hazina kubwa iliyomo ndani ya ardhi ya Urusi. Mataifa ya ulaya yamekuwa yakidondosha udenda kuweza kumilk ardhi ya Urusi. Taifa lolote likiweza kuidhibiti urusi litakuwa tajiri na kiranja wa dunia.
Hawa warusi wamekuwa wakipigana vita miaka na miaka.
1. Wamepigana na Mongols
2. Wamepigana na Persian empire
3. Wamepigana na Napoleon (France empire)
4. Amewahi kuwa gonga mjumuiko wa England, France na takata.
5. Amewahi kuwagonga Ottoman Empire.
6. Amewahi muwagonga wajapani.
7. Amewahi kuwagonga Astro-Hungary empire.
8. Alingonga Hitler second wolrd war.
Orodha ni ndefu mno. Hao warusi wanacholigania ni maslahi ya nchi yao tu. Ukikaa nao vizuri hawana shida na mtu.
Poland anawajua warusi, Finland anawajua warusi, Sweden anawajua warusi.
Hizi nyege wanazozionesha nakuhakikishia zitawatokea puani.
Fanya yote lakini usimchokoze mrusi.
Nikifikiria issue ya Afghanistan huwa nabaki nawaza watu kama wewe sijui mnafikiria kwa kutumia kiungo gani mwiliniNa bado, walikuwa wanambeza mchekeshaji. View attachment 2224126
Game linaanza dak ya 20 ushapigwa 6 za haraka. Badala ya kujikita kurudisha magoli unajikita kupunguza speed ya kufungwa.Kwakweli sikutarajia urusi kama angepata kipigo kiasi hichi,nakumbuka siku ya kwanza aliingia kyiv kwa mbwembe mara tukaambiwa ameshateka uwanja wa ndege pia tulionyeshwa bendera za urusi zikipepea siku ya kwanza baada ya hapo sjui hatma ya wanajeshi waliongia kyv ikoje,hivi bado wapo hai kweli