Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Wanaotegemea ugali upinzani si wanaunga mkono juhudi wanapewa mpunga...sidhani kama wana shida...!! Nyie makada ndio mtakufa njaa...!! Maana hata kama ww ni mbunge wa ccm 2020 huna uhakika wa kugombea tena maana mpitisha majina na mwenyekiti. Sasa endeleeni kushangilia upuuzi huu..
byebye upinzani.

hii ni fact chungu sana kwa wanaotegemea ugali upinzanini. Ila inaeleweka mapema kwa wasoma trend. Labda muujiza wa joka hilo kutoweka.
 
Mkuu makada wa ccm kwa sasa hawaijui kesho yao ndani ya chama chao
Wanaotegemea ugali upinzani si wanaunga mkono juhudi wanapewa mpunga...sidhani kama wana shida...!! Nyie makada ndio mtakufa njaa...!! Maana hata kama ww ni mbunge wa ccm 2020 huna uhakika wa kugombea tena maana mpitisha majina na mwenyekiti. Sasa endeleeni kushangilia upuuzi huu..
 
Kuna viumbe wanne hatari hapo katika umoja wao, mamba, papa, simba na joka lenyewe katika ukijani....
 
byebye upinzani.

hii ni fact chungu sana kwa wanaotegemea ugali upinzanini. Ila inaeleweka mapema kwa wasoma trend. Labda muujiza wa joka hilo kutoweka.
Inaonekana unafurahia sana 'kifo' cha upinzani ukifikiri upo kwenye vyama. Upinzani uko myoyoni na huo hauwezi kufa. Time will tell!
 
Inaonekana unafurahia sana 'kifo' cha upinzani ukifikiri upo kwenye vyama. Upinzani uko myoyoni na huo hauwezi kufa. Time will tell!
Hilo ndiyo tatizo kubwa la wana ccm wanadhani upinzani ni kuvaa magwanda
 
Inaonekana unafurahia sana 'kifo' cha upinzani ukifikiri upo kwenye vyama. Upinzani uko myoyoni na huo hauwezi kufa. Time will tell!
hayo ni maoni. Ila mimi nimetafsiri hilo joka la kijani. Sipendi tabia ya kufumba macho mchana kisha nihubirie watu kuwa ni giza kisa naogopa kufumbua nione mwanga. Kwa akili yangu nyembaba na nyororo upinzanu unamezwa na kuzimwa kabisa.
Kwa Mujibu wa hilo joka lakini sio katiba.
 
UPINZANI sio CHADEMA na CUF tu . Upinzani ni zaidi ya tuujuavyo,unaweza kuwepo hata ndani ya CHAMA KIMOJA

byebye upinzani.

hii ni fact chungu sana kwa wanaotegemea ugali upinzanini. Ila inaeleweka mapema kwa wasoma trend. Labda muujiza wa joka hilo kutoweka.
 
Afadhali umewapa darasa hao kina kwangu pakavu tia mchuzi wa ccm
UPINZANI sio CHADEMA na CUF tu . Upinzani ni zaidi ya tuujuavyo,unaweza kuwepo hata ndani ya CHAMP KIMOJA
 
Naona maccm mnafurahia kwa hayo yanayotakoke ili kuufuta upinzani hapa Tanzania
hayo ni maoni. Ila mimi nimetafsiri hilo joka la kijani. Sipendi tabia ya kufumba macho mchana kisha nihubirie watu kuwa ni giza kisa naogoma kufumbua nione mwanga. Kwa akili yangu nyembaba na nyororo upinzanu unamezwa na kuzimwa kabisa.
Kwa Mujibu wa hilo joka lakini sio katiba.
 
Kwa mujibu wa mchango wako unajionyesha dhahiri shahiri kuwa unapiga vigeregere ili upinzani ufutike hapa Tanzania
hatujadili furaha, mkuu umeleta picha watu watafsiri alafu unawageuka na kuwaita CCM .
hahaha
 
Kwa mujibu wa mchango wako unajionyesha dhahiri shahiri kuwa unapiga vigeregere ili upinzani ufutike hapa Tanzania
sawa. napiga vigeregere makusudi ili wapinzani wachukue hatua na kama wasipochukua watakinywea.
kwa mujibu wa akili yangu mbovu.
ukweli utaaki kuwa ukweli bila kujali unatolewa kwa mzaha, utani, ucheshi vigeregere na nderemo
 
Back
Top Bottom