Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Kweli Twaweza walikuwa makini kwenye tafiti zao kuwa wengi wenu mmeishia std 1V
mkuu unatafsiri picha au comments zetu. nikisema ulikimbia umande wa chekechea ntakuwa nimekuonea mkuu kamanda wangu
 
Au faini Milioni 17,sababu wakala wa shetani hawatakiwi kunyimwa usingizi,
Kibonzo hicho kwa Rwanda ni miaka 7,bado kidogo tutacopy hizo sheria kutoka kwa role model wetu "kagame"!
 
Ukiangalia macho ya hilo joka,utazamaji wake na namna lilivyotoa ndimi zake na meno ni kama lipo kujihami kurarua kisichompendeza pindi kikijitokeza,rangi za joka zinaweza kuhusishwa na mazingira na hali ya nchi then ukapata connection.
Ila usisahau cyber crime bado ipo...
Ni kawaida ya mifumo ya kijamaa utukuzwa fikra za MTU sio watu,kaa mbali utaliwa.
 
Back
Top Bottom