Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Mnajidai mnachochea hapa, kesho katuni zikipigwa marufuku nyie ndo wa kwanza kulalamika eti udikteta. Unafki na uchonganishi sio mzuri
 
Labda ni hii ishu ya Polepole aliposema vyama pinzani kuhamia ccm mwisho mwaka huu.. Itakuwa kuna namna ameiwasilisha
 
Hii picha inahitaji mtu mwenye kuishughulisha akili yake bila kukurupuka,asante sana Kipanya
FB_IMG_1539006645270.jpeg
 
Back
Top Bottom