Kamkuki
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 1,957
- 1,431
Anacheza na katuni tu, Mambo yanaenda yenyewe....Masoud mjanja sana
Anacheza na katuni tu, Mambo yanaenda yenyewe....Masoud mjanja sana
HapangiwiHahaha asee ni noma.
Ubaya unaweza usiondoke navyo alafu weekend ukapokea email ya kusimamishwa na hata ukitaka kwenda kuchukua belongings zako unazuilia getini.
Noma sana
Ndio maana Kagame kapiga marufuku vikaragisi🤣🤣🤣🤣Kila nikifikiria alicho maanisha kichwa kinaandika plz try again later
Hahahaha vilikua vinamchomaNdio maana Kagame kapiga marufuku vikaragisi🤣🤣🤣🤣
Siingii katika mtego wa "kutafasiri" alichomaanisha Kipanya!🤣🤣🤣