Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Comment imekaa kishabiki. Unadhani mafisadi hawapo? Wapo sana ila kwa sasa wana operate chinichini.
Na wengine wako bungeni wanafahamika kabisa lakin rais hadhubutu hata kuwagusa.
Nchi ilikuwa imejaa mafisadi na matapeli sasa amemaliza kusafisha inakuwa kwa sera zake
 
Huyu bwana amekuwa mtunzi mzuri Sana wa katuni zenye kubeba ujumbe,au maana fulani,ikiwa Kama njia ya kuikosoa serikali,kufikisha ujumbe kwa wananchi,au kuponda au kusifia matendo au matukio ya baadhi ya Viongozi,lakini hapa sijamuelewa vizuri.wadau naomba tusaidiane kutafasiri hii katuni.View attachment 894031
Huyo mwenyeshoka, anaonekana hajui anachokifanya, katumia nguvu nyingi kukata shina badala ya kung'oa mzizi.
 
picha inawakilisha maana nyingi sana kwa sera na uendeshaji wa nchi kwamba tumemaliza matatizo lakini kwa nyuma kumbe yanakuwa kwa kasi
 
Huyu bwana amekuwa mtunzi mzuri Sana wa katuni zenye kubeba ujumbe,au maana fulani,ikiwa Kama njia ya kuikosoa serikali,kufikisha ujumbe kwa wananchi,au kuponda au kusifia matendo au matukio ya baadhi ya Viongozi,lakini hapa sijamuelewa vizuri.wadau naomba tusaidiane kutafasiri hii katuni.View attachment 894031
Mkata mti alitakiwa ang'oe hadi kisiki,tayari mti unaanza kuchipua tena....so kwa mtazamo wangu mambo mengi hayajapata solutions yameguswa guswa tu
 
Hapo tafsiri rahisi ni kwamba sehemu kubwa ya upinzani na yenye nguvu imeteketezwa bado sehemu ndogo dhaifu ambayo itachukua muda kuwa imara
 
Huyu bwana amekuwa mtunzi mzuri Sana wa katuni zenye kubeba ujumbe,au maana fulani,ikiwa Kama njia ya kuikosoa serikali,kufikisha ujumbe kwa wananchi,au kuponda au kusifia matendo au matukio ya baadhi ya Viongozi,lakini hapa sijamuelewa vizuri.wadau naomba tusaidiane kutafasiri hii katuni.View attachment 894031
Bwana shoka hapa ni Kilaza 100%.......
 
Back
Top Bottom