Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

wachawi utawajua tu,unafurahia picha ya nyoka!
Wachawi ni hao na familia zao na walivyo na roho mbaya
FB_IMG_1539006645270.jpeg
 
byebye upinzani.

hii ni fact chungu sana kwa wanaotegemea ugali upinzanini. Ila inaeleweka mapema kwa wasoma trend. Labda muujiza wa joka hilo kutoweka.

Unfortunately kwa yeyote anaependa au kutegemea upinzani ufe kitakachotokea ni kinyume chake.
To paraphrase Nelson Mandela's words to the apartheid regime: If CHADEMA will disappear you will regret whoever takes their place and wish you kept them.
 
byebye upinzani.

hii ni fact chungu sana kwa wanaotegemea ugali upinzanini. Ila inaeleweka mapema kwa wasoma trend. Labda muujiza wa joka hilo kutoweka.
Comments from Lumumba FC zinadhihirisha kwamba mostly ni std seven.....
 
Comments from Lumumba FC zinadhihirisha kwamba mostly ni std seven.....
mkuu unatafsiri picha au comments zetu. nikisema ulikimbia umande wa chekechea ntakuwa nimekuonea mkuu kamanda wangu
 
Back
Top Bottom