Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

ogopa yanga anang'ata
byebye upinzani.

hii ni fact chungu sana kwa wanaotegemea ugali upinzanini. Ila inaeleweka mapema kwa wasoma trend. Labda muujiza wa joka hilo kutoweka.
hayo anajua Mungu anayeijua kesho yako na ya Tanzania.
sisi ni porojo tu kuchemsha bongo. Maana mawazo na mipango yetu sio Yake na njia zake hazichunguziki.
CCM inang'ata balaa! Upinzani umeng'atwa wote.

Ruksa kila mtu kuelewa kivyake
Naona mnajidai hamuelewi...

Nyoka ni kiumbe hatari tena kilicholaaniwa... Nyoka anadhuru watu, kwenye hiyo picha nyoka anarangi ya chama tawala...

Mpaka hapa, hilo joka ni chama tawala... Yaani chama tawala kimelaaniwa na kinadhuru watu...

Kwa lugha rahis ccm ni chama hatari wa maisha ya watanzania.
 
Kibonzo hicho kwa Rwanda ni miaka 7,bado kidogo tutacopy hizo sheria kutoka kwa role model wetu "kagame"!
Kamanda kwa hiyo unakiri kabisa kuwa tanzania kuna demokrasia ya kupigiwa mfano?
 
Back
Top Bottom