matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,514
- 23,491
hayo anajua Mungu anayeijua kesho yako na ya Tanzania.Kumbe Tanzania bila upinzani inawezekana?
sisi ni porojo tu kuchemsha bongo. Maana mawazo na mipango yetu sio Yake na njia zake hazichunguziki.
