Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,573
Kusema ukweli wengi hatujui kesho yetu,ukiponapona kwenye mavyeti feki msala unabaki kutumbuliwa na wa teule wa mh, coz awamu hii n ya fukuza ,kamata ,weka ndani, simamisha kazi, Mungu atuvushe sarama.