Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Kusema ukweli wengi hatujui kesho yetu,ukiponapona kwenye mavyeti feki msala unabaki kutumbuliwa na wa teule wa mh, coz awamu hii n ya fukuza ,kamata ,weka ndani, simamisha kazi, Mungu atuvushe sarama.
 
Ni matunda ya semina elekezi
Kusema ukweli wengi hatujui kesho yetu,ukiponapona kwenye mavyeti feki msala unabaki kutumbuliwa na wa teule wa mh, coz awamu hii n ya fukuza ,kamata ,weka ndani, simamisha kazi, Mungu atuvushe sarama.
 
Kwa hiyo unataka mtoa huduma awapangie wapewa huduwa muda wa kunywa chai?
Kama wapewa huduma wamekunywa chai mapema nini kinamzuia mtoa huduma kunywa chai mapema?
 
Ewaaa hapo sasa upo sahihi mkuu.
Hivyo TBC ikikosea jina lako ukawa miongoni mwa waliotumbuliwa huna haja ya kuwahi ofisini jumatatu kwenda chukua mali zako binafsi. Ikiwa umehamishiwa kitengo kingine huna haja kuzunguka mjini kutafuta picha hiyo kwani unatoka nayo home tiyari kuitundika.
 
Wacha kudanganya watu wewe

Nimemdanganya nani tena jamani?? Si uzungukie maofisi yote na hata maduka ya Samora Ev. ujionee?? Zipo 5 zimeanggikwa juu. Wengine huzifukizia uvumba. Nnani hampendi??
 
Endelea kudanganyana
Nimemdanganya nani tena jamani?? Si uzungukie maofisi yote na hata maduka ya Samora Ev. ujionee?? Zipo 5 zimeanggikwa juu. Wengine huzifukizia uvumba. Nnani hampendi??
 
Unamdanganya DAB
Nimemdanganya nani tena jamani?? Si uzungukie maofisi yote na hata maduka ya Samora Ev. ujionee?? Zipo 5 zimeanggikwa juu. Wengine huzifukizia uvumba. Nnani hampendi??
 
Back
Top Bottom