jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Bavicha hawakauki mdomoni mwako hivi ni nini walikufanyaga hawa jamaa!?Njoo na sababu ya kwa nini iwe irrelevant usipinge kibavicha
Jieleze upatiwe msaada wa kisaikolojia!
Bavicha hawakauki mdomoni mwako hivi ni nini walikufanyaga hawa jamaa!?Njoo na sababu ya kwa nini iwe irrelevant usipinge kibavicha
Kwani hiyo 'themos' ana tembea nayo muda wote!?.. Kuna ofisi zina hadi Microwave na fidge!.Ofisini unaenda na themos wateja utawahudumia viip
Hiyo chai itanywewa muda wa mapumziko ya chakula, hawezi kuacha pesa ya chakula nyumbani na pesa ya kununua chakula akiwa kazini, hiyo chai na chapati atakunywa mchana ya asubuhi kanywa nyumbaniOfisini uaenda kunywa chai au kuhudumia wananchi?
Do not hangaisha yourself. Tangu comment yake ya kwanza inaonyesha ana dalili za maradhi ya magufuliasis chatlelismiaBavicha hawakauki mdomoni mwako hivi ni nini walikufanyaga hawa jamaa!?
Jieleze upatiwe msaada wa kisaikolojia!
Kwani alikua na mlengo tofauti na huo unaonekana hapo kwenye mchoro?Je nae amebadili gia angani au ili mradi watoto waende chooni?
Nani kakwambia?Siku za kipanya zinaesabika
Tena yatachomoza kutoka ndani kwake mwenyewe,si unaona kijani kibichi hicho.Huwezi kuua upinzani kuna matawi mapya yatachomoza
Ni kama vile DAB kakumbatiwa na asiyejulikana! Mmmm, hili jiwe! DAB anasema kwa niaba yake na ya aliyekumbatiana naye kuwa "tunaomba mtuelewe tu"; hatuwezi kutengana!Bado yanafikirika haya au ni watu wa matukio na mihemko kama kawaida??
Hii picha inaweza kumaanisha kuwaJe nae amebadili gia angani au ili mradi watoto waende chooni?