Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Ha ha ha ha ha hii hawajamwambia kuifuta au kuirekebisha?[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hilo duka mbona kama wanauza bikini!Kipanya hapo kamanisha SERIKALI inafanya matumizi yasiyo ya msingi bila idhini ya bunge, Sema nchi ndio sijajua ni nchi gani hiyo.
 
Back
Top Bottom