Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Hii ngoma kumbe unajua mkuu..siku hizi hawa vijana sijui wanaimba nini.

Video ya ngoma hii ndo video ya hiphop ya kwanza kufikisha 1M+ views youtube back in the days.
Yuh man, pia ndio video ya kwanza ya Hip hop kama sio muziki yote ya Tanzania kuchezwa Chanel O wakati huo, hawa jamaa ndio wameitambulisha Hip hop Maasai International kipindi hicho mzee, nashangaa watu wanamuona Diamond wa ajabu kuenda states leo watu wametimba pande hizo kitambo sana bila Kiki wala ufirauni wa aina yeyote. Saizi hakuna muziki kuna wazinzi wa kisanii na wasambaza maradhi kwa bei poa. .... can't sell out for the plastic shoes. ..
 
Wengi tunamuombea maisha marefu
Kuna watu wana shahada mpaka za uzinifu sijui uzanifu, lakini hawawezi kutumia shahada zao kuelezea hali halisi au kuelezea changamoto zilizopo kama Kipanya afanyavyo.
Mungu ambariki na kumlinda Masoud Kipanya.
 
Mkuu umenifumbua macho
Three in One
Hiyo silaha kwa nyuma inawakilisha geshi letu la polish
Suti na miwani ni watu wasiojulikana
Rangi ya shati sina haja ya kuelezea

akili kichwani mwako
anaitendea haki sanaa yake..
 
Humu ukiweka link huwa sijui ma mods wana zitoa maana haziwi supported... Labda picha
 
Back
Top Bottom