Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Duuh, dawa ni kujifunza kuogelea tuu.
Unaenda deep unaukimbia huo mkono unaibukia kwa mbele. Ila tuu uwe na pumzi za kutosha.
Huwezi kujifunza kuogelea kwa kusoma jinsi ya kuogelea bila kuingia kwenye maji yenyewe. Hata mtoto huanza kujifunza kuogelea kwenye beseni analooshewa halafu ataenda shallow water kwenye kibwawa hivi atachezea maji ya mvua ataelekea swimming pool ya watoto then deep pool then mitoni maziwa na then deep sea bahari huko. Kila kitu kikichelewa ukitupwa deep sea huwezi kutoka. You will drown. "Elimu ya kuogelea" tuliipuuza na sadists walitunyina na hawataki watupatie kwa sababu hawataki tujue kuogelea. It is their pleasures to see us in pain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anazamwishwa ktk maji,lakini huyo kaa anamng'ata mguuni anampa maumivu yanayo mfanya kubana pumzi,ambalo zoezi hilo linamsaidia pia asinywe maji anapozamishwa.Fundishwa unaweza patwa na baya likatokea baya jingine kukusaidia ktk baya
 
Huwezi kujifunza kuogelea kwa kusoma jinsi ya kuogelea bila kuingia kwenye maji yenyewe. Hata mtoto huanza kujifunza kuogelea kwenye beseni analooshewa halafu ataenda shallow water kwenye kibwawa hivi atachezea maji ya mvua ataelekea swimming pool ya watoto then deep pool then mitoni maziwa na then deep sea bahari huko. Kila kitu kikichelewa ukitupwa deep sea huwezi kutoka. You will drown. "Elimu ya kuogelea" tuliipuuza na sadists walitunyina na hawataki watupatie kwa sababu hawataki tujue kuogelea. It is their pleasures to see us in pain.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu ni kuwa mtoto huwa anaogelea tumboni mwa mama yake. Wataalamu wa watoto hushauri mtoto afundishwe kuogelea ndani ya miezi mitatu ya kwanza anakua hajasahau skills za tumboni
 
Huyu ni mvuvi, ndani ya maji samaki ni wachache na wanapatikana kwa tabu na kwa kuhatarisha na wakati mwingine kujeruhiwa na viumbe/wanyama hatari lkn mtu aliyoko juu anaetakiwa kukusaidia anafikiri unapata sana hivyo anaendelea kukukandamiza zaid badala ya kutoa msaada *mpina vs uvuvi* kwa mujibu wa picha.
Asante sana
 
Ila maisha yetu sijui yanakwendaje....hii motion bado sijaielewa
 
Back
Top Bottom