Mtoto ameegamia sanduku la siri, Baba anajitafakari.
Rudia tena kuitafakari, usipoielewa tena achana nayo si ya level yako.ila mimi bado sijaielewa hii katuni mwenye elimu Zaidi anisaidie kui fafanua jamani kunauwezekano tulio wengi bado tumefungwa vichwa vyetu mwanzao mwisho
alafu amekaa ktk pozi ambalo hana wasiwasi sababu anajiamini na alichokiegemea...mguu mmoja kwa dharau kabisa.Masoud is genius, amepita mlemle dogo na miwani, suit ya Sheria Ngowi na smart phone mkononi
Ijumaa PCCB walikwenda nyumbani kwake/kwao sehemu inayoitwa Igoma - Nyamagana Mwanza. Kilichojiri nitawasimulia, ngoja kwanza nikale ugali wa mawele hapo kwa bibi NyamajejeMasoud is genius, amepita mlemle dogo na miwani, suit ya Sheria Ngowi na smart phone mkononi
Sisi ndiyo wenye pressure dogo yuko poa tuIjumaa PCCB walikwenda nyumbani kwake/kwao sehemu inayoitwa Igoma - Nyamagana Mwanza. Kilichojiri nitawasimulia, ngoja kwanza nikale ugali wa mawele hapo kwa bibi Nyamajeje
Hayuko poa, mambo yanafukuta chini kwa chini.Sisi ndiyo wenye pressure dogo yuko poa tu
Huyo ni naibu raisila dogo anapata wapi confidence hivo sana.Alafu kaeka na kamguu kake hapo kabisa na kilongalonga chache aisee alafu amenyoa kiduku looo.Aisee wahenga wanasema GANDA LA MUA LA JANA CHUNGU KAONA KIVUNO
yanafukuta ndio nini?Hayuko poa, mambo yanafukuta chini kwa chini.