Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Sijawahi kuona wala kuskia kapanda kizimbani.....zaid wanaishiaga tu kusema uchunguzi unafanyika then yanapotea chini kwa chini
 
Polisi huwa "hawakosei". Inapotokea kuna dosari kidogo kwenye kazi yao muhimu ya "kutulinda sisi na mali zetu", huwa ni bahati mbaya tu na maisha yanapaswa kusonga mbele
 
Huyu Mrithi wa Kipanya.
FB_IMG_1536304010740.jpeg
 
Back
Top Bottom