Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,254
Akipewa jibu na baba yake ... Atakuwa ndiye mtoto wa pekee kupendwa na baba yake kuliko wenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaelewa sana.. Ila ndio hutakaa usikie amefanyiwa kitu cha ajabu...Masoud achana na huyu kichaa tunakuhitaji bado
juzi kati alipunyuliwa akaanza kushukuru wananchiAnaelewa sana.. Ila ndio hutakaa usikie amefanyiwa kitu cha ajabu...
We mwenyewe si waona, hajaanza Leo...
Ila nenda kaanze wewe Leo uone shughuli yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge limekuwa rubber stamp ya serikali.
Tangu wazuie lisionyeshwe live na Lissu kujeruhiwa wengi tumelisahauBunge limekuwa rubber stamp ya serikali.
Yah sure,na sababu yao nyepesi kabisa eti bunge likiwa live hatutofanya kazi ila nashangaa ziara za jamaa huko mikoani ziko live.Tangu wazuie lisionyeshwe live na Lissu kujeruhiwa wengi tumelisahau
Na kupokea Dreamliner serikali nzima inashinda AirportYah sure,na sababu yao nyepesi kabisa eti bunge likiwa live hatutofanya kazi ila nashangaa ziara za jamaa huko mikoani ziko live.