Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Hao ndio viongozi wetu tuliyo nao na hakuna mtu wa kukemea
km wewe na Mmawia sasa mnaamini aliyejeruhiwa ni mbwa koko basi hakua haja ya kumuita Kipanya hapa
fb_img_1525000080558-jpg.760177

 
Mods rekebisha heading...

Kipanya tumekuekewa sana;iwe
Kipanya 'tumekuelewa' sana

*huyo mbwa koko ndiye 'monitor' au 'nyapara' wa kusimamia vimbwa koko wote...

*naye yuko hoi,anakufa na tai yake shingoni
 
Back
Top Bottom