kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Zile za richmond zilizokua zikiingia mfukoni kwa mtu mmoja tu!Hasa ile ya 1.5Trilion
Zile za richmond zilizokua zikiingia mfukoni kwa mtu mmoja tu!Hasa ile ya 1.5Trilion
Ukisikia lumumba ndio hao wapo kama benderaKwa hivyo Lumumba sasa mmegeuza kibao? Wazalendo si jiwe na slowslow tena, bali ni wanaandamanaji?
Kumbuka ana bendera ya taifaHuyo ndiye mbwa koko aliyetamkwa na RPC Gilles Muroto wa Dodoma
Tunataka kujua zilipo 1.5TrilionZile za richmond zilizokua zikiingia mfukoni kwa mtu mmoja tu!
Si ndo waandamanaji wanaojifanya wazalendo sana na nchi yao.Kumbuka ana bendera ya taifa
Ongeza kidogo kufikiriSi ndo waandamanaji wanaojifanya wazalendo sana na nchi yao.
Mbwa koko ambaye anabahati sana,baada ya kuufyata.Huyo ndiye mbwa koko aliyetamkwa na RPC Gilles Muroto wa Dodoma
Umeonaeeeeeee?Wanajidai wazalendo wakati maisha ni magumu na wamejichokea
Mrudi darasani au muende kwa KIPANYA awape somobwa koko ambaye anabahati sana,baada ya kuufyata.
SaaanaUmeonaeeeeeee?
Sasa huyo mbwa au mbweha!Mrudi darasani au muende kwa KIPANYA awape somo
Wakati unakufa na tai shingoni kazi kupiga makofi na vigeregereShikilia hapo hapo raisi wangu.
Ndoto za mchanaDar Airbus Arusha Jumbo juhudi binafsi za kushikilia hapo hapo za rais John Pombe Magufuli zimeanza kulipa.