Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Kp
22839cf955457acd2a98b59b608208da.jpg
 
Siku hizi akikimbilia humo hasalimiki anakula visu vya mbavu mpaka anatangulia kwa sir God
 
HUYU MASOUD NI TATIZO SANA, LEO LUDOVIC UTTOH KAALIKWA STUDIO KUELEZEA KITABU CHAKE KINACHOZINDULIWA LEO. MGENI KAWEKWA PEMBENI YEYE ANAULIZA MASWALI NA KUJIJIBU MWENYEWE. NAJIULIZA WAMEMUALIKA KUFANYA NINI? MAANA HAONGEI CHOCHOTE. AKITAKA KUONGEA ANAKATISHWA FASTER NA MASOUD.
 
Jf ya sasa haitaki mtu atoe constructive criticism, utajibiwa majibu hadi ujute kuleta uzi.
 
Hizo gurudumu ambazo ndio zinaiwezesha gari kutembea hazipo sawa au haziendani

Hvyo ni vigumu kwa gari kwenda mbele na hata likifanikiwa mwendo wake si salama kabsa huenda baadhi ya gurudumu zikaharibika ikawa ndo mwisho wa safari
 
504 na tairi ya Trekta tena limefungwa mbele wapi na wapi... ha ha ha kuna safari hapo mtanzania?
 
waliopewa dhamana kutupeleka nchi ya asali na maziwa hawaendani na hadhi iyo
 
Back
Top Bottom