Hahahahahhahahahahhaha......teh teh teh teh, dah nimemkumbuka mzee Ole yule wa gazeti la Sani. Alikuaga ni kubwa la maadui msaidizi wake anaitwa Zumo na steringi ni Obi, hilo ndio lilikua cheko lake. Hii nchi raha sana wallah tumepatikana this time.
Vaa miwani utaelewa tutueleweshe na sisi tusioelewa
mh basi sawaaaaa...naona mbwa kakondaaaVaa miwani utaelewa tu
Nasisitiza ni NGURIOk, ila sio 'nguri' ni "nguli"
UtanitagNitarudi baadae wenye akili wakisha comment
Wewe jamaa sasa hivi utaulizwa uraia wakoAnamaanisha Mbwa Koko wamekonda kinoumaah Na Bendera ya Taifa Shingoni kuashiria Uzalendo uchwara
mbwa koko aliyevaa uzalendo uchwara hata nguvu ya kubweka hana, sembuse ya kuandamana..Vaa miwani utaelewa tu
KwiishaaaaaJamaa kawakondesha watanzania ndani y miaka miwili je akikaa mingine 2 sijui itakuwaje.tutabaki mifupa.
Swissme