Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Asubuhi yangu imeamka poa sana mimi mbwa Mzalendo.....vipi mwenzangu huko.....
masoudkipanya-20180502-0002.jpg
 
Huyu nae anataka kupitiliza sasa......SI BUSARA KUMFUNGA MBWA BENDERA YA TAIFA...hii ni dharau kwa nchi yetu na ni tusi kubwa
 
Huyu nae anataka kupitiliza sasa......SI BUSARA KUMFUNGA MBWA BENDERA YA TAIFA...hii ni dharau kwa nchi yetu na ni tusi kubwa

Naona umelipwa buku saba tayari

Umesahau huyo ni mbwakoko! au unajifanya hujui ya kuwa mnawaongoza mbwa koko! Ambao hawana haki hata ya kuzungumza shida zao wakiogopa kipigo!

Acha ujuha,ipo siku utakufa tuone familia yako itakavyoteseka na huu ujinga wako huku ukiwa umesahau kesho yako itakwaje
 
naziona sura za waliokuwepo mkutanoni jana zijiwakilishwa na huyo aliyevikwa bendera
 
Huyu nae anataka kupitiliza sasa......SI BUSARA KUMFUNGA MBWA BENDERA YA TAIFA...hii ni dharau kwa nchi yetu na ni tusi kubwa
Kwani mbwa ana nini mpaka asifungwe kitambaa cha bendera ya taifa?na ni wapi imekatazwa ?
 
Back
Top Bottom