Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Kikianzishwa Chuo chochote cha ' Unafiki ' nchini Tanzania nenda kaombe Kazi ya kuwa ' Principal ' wake itakufaa mno.
HAPANA MKUU, UNAJUA SISI WENGNE NA MAMBURULA MKUU TUNAWATEGEME WATU WENYE IQ KUBWA KAMA WEWE MTUDADAVULIE NA MSELELEKE VITU KAMA HV VYA UCHORAJI.
 
Narudia tena siku yoyote ukishaona naandika post yoyote ile kisha mwishi namalizia na neno ' naomba niishie hapa tafadhali ' na naliwekea rangi Nyekundu jua ya kwamba hapo ndipo nimeishia na sihitaji tena swali la aina yoyote ile. Kwa mwenye akili nzuri, kubwa na za kuzaliwa atakuwa ameshanielewa tena vyema tu labda kwa Mjinga ( Ngumbaru ) au Mpumbavu ( Popoma ) ndiyo anaweza kila mara akawa hajui na anabaki tu kuuliza uliza.

Nimemaliza.
U'r Purely Talented
16743-200.png
 
Mi nimeona Kifusi na Tingatinga!View attachment 735969

Iko hv. Magufuli anahangaika kujenga au kusafisha saiti (ku-clear site) lakini kuna mitoto au watu wanacheza juu ya kifusi na wengine wamepanda na wanacheza kwenye kijiko sasa badala ya yeye kuendelea na kazi anabaki kukimbizaa nao.

Kwa ufupi ni kwamba hawaelewi ni nini anachofanya wanadhani ni mchezo tu.

My Note. HILI NI KWELI na Masoud ni jinias kweli.
 
Back
Top Bottom