Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Bulldozer hasikilizwi tena !!
Katoka kwenye hilo dude kuwaambia watu wampishe ... Ndo kwaaanzaaa wanaruka sarakasi ....
wengine wameamua wapande kabisa kwenye bulldozer kuonyesha hawamwogop hawa ndo balaa
Sio hivyo tuu jamaa ana foka foka .. Ni kama washamzoea hivi !! Hii ndo balaa

Lastly jamaa anatumia akili kuliko nguvu we MTU buldoza ina honi kwa nini usipige !!?
Katoka kwenye hilo dude kuwaambia watu wampishe ... Ndo kwaaanzaaa wanaruka sarakasi ....
wengine wameamua wapande kabisa kwenye bulldozer kuonyesha hawamwogop hawa ndo balaa
Sio hivyo tuu jamaa ana foka foka .. Ni kama washamzoea hivi !! Hii ndo balaa

Lastly jamaa anatumia akili kuliko nguvu we MTU buldoza ina honi kwa nini usipige !!?