Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Bulldozer hasikilizwi tena !!
Katoka kwenye hilo dude kuwaambia watu wampishe ... Ndo kwaaanzaaa wanaruka sarakasi .... wengine wameamua wapande kabisa kwenye bulldozer kuonyesha hawamwogop hawa ndo balaa
Sio hivyo tuu jamaa ana foka foka .. Ni kama washamzoea hivi !! Hii ndo balaa
Lastly jamaa anatumia akili kuliko nguvu we MTU buldoza ina honi kwa nini usipige !!?
 
Aisee nimegundua lingine..angalia gari lenyewe halina dereva yaani dereva ametoka kwenye stering yupo nje akiwa onya watu( kushika fimbo ni lugha ya kuonya) alafu watu wenyewe hawajali lakini walio nyuma ya hilo gari wamebeba ndoo (ni ishara ya kunufaika yaani kuchota mali) na wengine hawana habari wapo nyuma lkn wamekaa kama mazuzu hahaha hii picha inahitaji akili sanaaa
 
duhh
March-09-18-John-Pombe-Magufuli-595x450.jpg
 
Hapo ni kwamba watu hawaogopi tena bulldozer na wako tayari kwa lolote. Kwa nyuma hapo kuna katoto nafikiri ni nondo ndio kalipanda kabisa huku chama cha upinzani kimoja kinamuambia usishuke hapa ndio pazuri.

Lakini kwa mbaaali namuona mama wa haki za binadamu kabeba malalamiko ya hawa wote anayapeleka mjini (UN) kwani hapo kijijini wenye funguo wanaliogopa bulldozer.
 
Yaani anawakemea wananchi hao walio mbele yake lakini ni kama hawamuogopi huku wasaidizi wake waliopo kwenye hilo Bulldozer nao wakiwa hawajali wala hawamsaidii bosi wao kupambana na hao raia huko mbele.

Yaani kwa kifupi Wafanyakazi wa Bulldozer hawana ushirikiano kwa bosi wao kama ilivyo wananchi, hivyo mwenye Bulldozer analazimika kutumia nguvu ili watu wamsikilize.
 
Iko hv. Magufuli anahangaika kujenga au kusafisha saiti (ku-clear site) lakini kuna mitoto au watu wanacheza juu ya kifusi na wengine wamepanda na wanacheza kwenye kijiko sasa badala ya yeye kuendelea na kazi anabaki kukimbizaa nao.

Kwa ufupi ni kwamba hawaelewi ni nini anachofanya wanadhani ni mchezo tu.

My Note. HILI NI KWELI na Masoud ni jinias kweli.
Na huyo mama kabeba ndoo vp
 
Bulldozer hasikilizwi tena !!
Katoka kwenye hilo dude kuwaambia watu wampishe ... Ndo kwaaanzaaa wanaruka sarakasi .... wengine wameamua wapande kabisa kwenye bulldozer kuonyesha hawamwogop hawa ndo balaa

Nimepata picha mkuu

Shukrani sana
 
leo kaniacha mianzini kabisa nashangaa taa ebu aje anitoe hapa mapema
Jiwe lilianza vyema kunyoosha Nchi ila kwa tabia zake za kumparua kila mtu, sasa hata driver (wachumi, washauri etc) wametoka kwenye viti vyao na wanaomba msaada wa kuwaokoa pale. Tatizo hayupo wa kuwaokoa maana kila mtu keshakimbia. Bulldoser halitembei tena na Jiwe halina habari. Hata akili ya kugeuka nyuma tu lijue kuna tatizo gani, halina.

Nimemaliza.
 
Hammuoni mwana chadema huyo amenyoosha vidole kama ishara ya peoples power, yaani yupo ccm kuzuga tu lkn moyo upo chadema
 
Nilicho observe ni kuwa, operator hajui pahali sahihi pa kukaa ili kufanya kazi yake kwa ufanisi na hii imerifanya tingatinga likose mwelekeo, na watu kulidharau
 
Jiwe lilianza vyema kunyoosha Nchi ila kwa tabia zake za kumparua kila mtu, sasa hata driver (wachumi, washauri etc) wametoka kwenye viti vyao na wanaomba msaada wa kuwaokoa pale. Tatizo hayupo wa kuwaokoa maana kila mtu keshakimbia. Bulldoser halitembei tena na Jiwe halina habari. Hata akili ya kugeuka nyuma tu lijue kuna tatizo gani, halina.

Nimemaliza.
hongera mkuu maana nilitoka bila bila
 
Iko hv. Magufuli anahangaika kujenga au kusafisha saiti (ku-clear site) lakini kuna mitoto au watu wanacheza juu ya kifusi na wengine wamepanda na wanacheza kwenye kijiko sasa badala ya yeye kuendelea na kazi anabaki kukimbizaa nao.

Kwa ufupi ni kwamba hawaelewi ni nini anachofanya wanadhani ni mchezo tu.

My Note. HILI NI KWELI na Masoud ni jinias kweli.

Hapo saa na mm nielewa
 
Back
Top Bottom