Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Sijaona Uongo Wa Waziri Ila Ndiyo Namna Ya Viongozi Watu Hapo Yupo Kwenye Fire Katika Utekelezaji Wa Majukumu
Viwanda 543 Singida
Manyoni 37
Pwani 371
Labda vyerahani
 
Mwijage anafanya hesabu za kwenda na moja kichwani 😀😀😀
 
Na haji tena kwenye intavyuu huko kwa kina Kipanya.
 
29512489_10156280548524339_2614658612236649521_n.jpg
 
Hapa naona ni story ya makinikia!
wale ACCACIA au Barrick ukitaka walikuja wakatafuna kodi zetu katika vikao na serikali na mwisho wa siku serikali hatukuambulia kitu......walituibia(?) na tukawalisha kwa kodi zetu mwisho wakasepa!
 
Katuni inahitajia akili ya ziada kupata maana yake, mara nyingi katuni huendana na matukio ya kila siku yanayojitokeza ndani na nje ya nchi. Kwa mfano tafsi ya hiyo inaweza kuwa ifuatavyo
  1. Tanzania inajiua yenyewe kwenye zao la Korosho baada ya kuthibitika kuwa ni kwenye mawe yaliyokutwa kwenye magunia yametoka Tanzania
  2. Demokrasia ya Tanzania inameguliwa kila siku kidogo kidogo na mwisho wa siku itakwisha kabisa, mfano tumeshaona jinsi vyama maarufu vya upizani vinavyopata vikwazo mara kwa mara kwenye mikutano, uchaguzi, kesi, uhuri wa maandamano na kadhalika
  3. Wakuu wa nchi wanakwenda kinyume na matamko wanayotoa, unakuta kiongozi wa nchi anasema hivi lakini baada ya miezi kadhaa anatoa statement inayokinzani na ile ya kwanza
 
mbona kutumia akili sana kupata tafsiri?

utitiri wa kodi unao muangamiza mfanya biashara (wengi kufikia hatua ya kufunga) hapo ni sawa na kujila mkia
suluhisho ni kuanzisha vyanzo vingine vya mapato votakavyo rahisisha upatikanaji wa kipato kwa walio wengi na sio kuanzisha kodi mpya

Mbinyo katika maswala mbalimbali ikiwemo democracy kama vyama vya siasa vimavyo dai ni sawa na kujila mkia

humpandishi mfanyakazi daraja/humpi promosheni ma stahik zake kwa wakati kama sheria inavyo taka kwa visingizio anuai ni sawa na kujila mkia kwa sababu huyo mtumishi ndiye mwananchi ame cease kwa muda mrefu kimaendeleo.


swali ni je? akimaliza kujila mkia atahamia kiungo gani?
Màsaburi
 
mbona kutumia akili sana kupata tafsiri?

utitiri wa kodi unao muangamiza mfanya biashara (wengi kufikia hatua ya kufunga) hapo ni sawa na kujila mkia
suluhisho ni kuanzisha vyanzo vingine vya mapato votakavyo rahisisha upatikanaji wa kipato kwa walio wengi na sio kuanzisha kodi mpya

Mbinyo katika maswala mbalimbali ikiwemo democracy kama vyama vya siasa vimavyo dai ni sawa na kujila mkia

humpandishi mfanyakazi daraja/humpi promosheni ma stahik zake kwa wakati kama sheria inavyo taka kwa visingizio anuai ni sawa na kujila mkia kwa sababu huyo mtumishi ndiye mwananchi ame cease kwa muda mrefu kimaendeleo.


swali ni je? akimaliza kujila mkia atahamia kiungo gani?
Atajila kichwa!!
 
Back
Top Bottom