monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,621
Ifuatayo ndyo tafsiri ya hyo katuni kutokana na ufaham wangu;
1.Mtu anawakilisha serikali
2.Mtu anawakilisha viongozi wa vyama na serikali (upande wa chama tawala)
3.Damu inawakilisha watu wanaouawa ( hawa ni Watanzania na wanauawa na Watanzania wenzao waliopo madarakani)
4.Chupa inawakilisha ulevi wa madaraka
5.Mtu anawakilisha serikali na matendo yake mabaya,mfano umwagaji damu wa watu wake,kwa kuwa watu ndyo huunda serikali au nchi basi ni kama nchi inajitafuna yenyewe
6.Pia,mtu anawakilisha matajir,wafanyakazi na watu wa matabaka mengine sasa wanauawa na serikali kiuchumi mfano wengi wamepandishiwa kodi na hatimaye wamefilisika so,ni kama serikali imejimaliza yenyewe!
1.Mtu anawakilisha serikali
2.Mtu anawakilisha viongozi wa vyama na serikali (upande wa chama tawala)
3.Damu inawakilisha watu wanaouawa ( hawa ni Watanzania na wanauawa na Watanzania wenzao waliopo madarakani)
4.Chupa inawakilisha ulevi wa madaraka
5.Mtu anawakilisha serikali na matendo yake mabaya,mfano umwagaji damu wa watu wake,kwa kuwa watu ndyo huunda serikali au nchi basi ni kama nchi inajitafuna yenyewe
6.Pia,mtu anawakilisha matajir,wafanyakazi na watu wa matabaka mengine sasa wanauawa na serikali kiuchumi mfano wengi wamepandishiwa kodi na hatimaye wamefilisika so,ni kama serikali imejimaliza yenyewe!
