UmetishaaMlango umefunguliwa, huyo Ndege aliyepo nje itabidi achague, aingie ndani au kama hataki, kisu kinamuhusu.
na kwenye chama tawala kwenyewe ukija ni kimya mwenye nguvu ni mmoja,ndio maana ya kukosa manyoya.Ingia kwenye chama tawala... Ukigoma unakula shaba/mapanga shaa
Hata wewe sio mtu?Hata mleta katuni anaweza kuwa hajaelewa vile vile ila ameileta tu hapa huku anachekelea tumwone kailewa. Wabongo nao watu basi !
Naona bafo hajakojoa....akimaliza utatulia.Arosto ya mwenyekiti wetu iliyosababisha akimbizwe kcmc imeisha??
Huu ni wake wa kuacha ngada sasa.
TeteteteteteteHuyo ndiye mchezaji wa soka anaye zitegemea mahakama badala ya referee![]()
Mkuu humjui Borizozo wa East Afrika?He he he nchi jirani ya Kenya na Uganda kwa upande wa Kusini au DRC??
Alosto wanazo hao wanao kimbilia kwa pirato badala ya kumalizana na refa uwanjaniArosto ya mwenyekiti wetu iliyosababisha akimbizwe kcmc imeisha??
Huu ni wake wa kuacha ngada sasa.
BurundiAu Mozambique