Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,254
Hamchelewi kupiga balls badala ya ball...Sizonje anajua kuucheza tuandae bonanza?
Hamchelewi kupiga balls badala ya ball...Sizonje anajua kuucheza tuandae bonanza?
Mwalm KijoEnock: Mwalimu kashasha unazungumziaje hii rafu?
Mwl Kashasha: Unajua enock mpira ni chemistry na hawa mabeki wawili walijaribu kukaba kwa combination na kwa bahati mbaya wakajikuta wamemweka kati nkurunzinza, kwa lugha ya kitaalam tunasema wamem-sandwich na mara moja refa alispot lile tukio na kuwaonyesha kadi nyekundu. Kwako Enock
Kupiga tu loh.. ni kunyofoa kabisaHamchelewi kupiga balls badala ya ball...
Rais ameanzaje kucheza mpira Na wananchi? Angekuja Dsm acheze Na Just Praise Me maana mentality zao zinafananaHuyo ndiye mchezaji wa soka anaye zitegemea mahakama badala ya referee![]()
Sio pirato wewe ni pilato. Saa zingine mtakuja kutukana hivi hivi shauri ya papara zenu.Alosto wanazo hao wanao kimbilia kwa pirato...
Enock: Mwalimu kashasha unazungumziaje hii rafu?
Mwl Kashasha: Unajua enock mpira ni chemistry na hawa mabeki wawili walijaribu kukaba kwa combination na kwa bahati mbaya wakajikuta wamemweka kati nkurunzinza, kwa lugha ya kitaalam tunasema wamem-sandwich na mara moja refa alispot lile tukio na kuwaonyesha kadi nyekundu. Kwako Enock

Naona sindano imekuingia vemaSio pirato wewe ni pilato. Saa zingine mtakuja kutukana hivi hivi shauri ya papara zenu.
Hao ndio wangezitwanga kavukavu uwanjaniRais ameanzaje kucheza mpira Na wananchi? Angekuja Dsm acheze Na Just Praise Me maana mentality zao zinafanana
Arosto ni JingalaoArosto mpaka mnawekewa ventilator!
Kamtembelee mwenzio huko mwaka huu lazima tumpeleke kliniki ya methadone...Makonda kawaumbua sanaArosto ni Jingalao
HahahahahaEnock: Mwalimu kashasha unazungumziaje hii rafu?
Mwl Kashasha: Unajua enock mpira ni chemistry na hawa mabeki wawili walijaribu kukaba kwa combination na kwa bahati mbaya wakajikuta wamemweka kati nkurunzinza, kwa lugha ya kitaalam tunasema wamem-sandwich na mara moja refa alispot lile tukio na kuwaonyesha kadi nyekundu. Kwako Enock
Pia usisahau kuwa wananchi tunafungua hospital za kuwahudumia vichaa na wenye mihemukoKamtembelee mwenzio huko mwaka huu lazima tumpeleke kliniki ya methadone...Makonda kawaumbua sana
😀😀😀😀😀Enock: Mwalimu kashasha unazungumziaje hii rafu?
Mwl Kashasha: Unajua enock mpira ni chemistry na hawa mabeki wawili walijaribu kukaba kwa combination na kwa bahati mbaya wakajikuta wamemweka kati nkurunzinza, kwa lugha ya kitaalam tunasema wamem-sandwich na mara moja refa alispot lile tukio na kuwaonyesha kadi nyekundu. Kwako Enock
Si mtampiga vichwa hadi ashangaeeSizonje anajua kuucheza tuandae bonanza?



Pumbafu sana weweArosto mpaka mnawekewa ventilator!
Ndiyo aina ya viongozi wetu haoLakini rafu ya mpira si inahukumiwa kwa kadi tu...sasa jela ya nini tena
Hujitambui wewe nguchiroKamtembelee mwenzio huko mwaka huu lazima tumpeleke kliniki ya methadone...Makonda kawaumbua sana
Hahaha baada ya mechi mnapotea kusikojulikanaHamchelewi kupiga balls badala ya ball...