Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,269
Dah aseeSio pirato wewe ni pilato. Saa zingine mtakuja kutukana hivi hivi shauri ya papara zenu.

Dah aseeSio pirato wewe ni pilato. Saa zingine mtakuja kutukana hivi hivi shauri ya papara zenu.

Wachache wamekuelewaHamchelewi kupiga balls badala ya ball...
Arosto ya mwenyekiti wetu iliyosababisha akimbizwe kcmc imeisha??
Huu ni wake wa kuacha ngada sasa.
Sindano gani, ya pirato?Naona sindano imekuingia vema
Mkuu huyo akiwacha hata kuwa na maishaNa wewe ni wakati wa kuacha kuliwa kiboga.
Enock: Naam asante sana Mwl Kashasha kwa maelezo mazuri kuhusu kilichotokea hivi punde na kusababisha wachezaji wawili kuonyeshwa kadi nyekundu, lakini Mwl Kashasha rafu ya namna hii iliwahi kutokea huko nyuma.Enock: Mwalimu kashasha unazungumziaje hii rafu?
Mwl Kashasha: Unajua enock mpira ni chemistry na hawa mabeki wawili walijaribu kukaba kwa combination na kwa bahati mbaya wakajikuta wamemweka kati nkurunzinza, kwa lugha ya kitaalam tunasema wamem-sandwich na mara moja refa alispot lile tukio na kuwaonyesha kadi nyekundu. Kwako Enock
Yupo juu kabisaHuyu jamaa ana jielewa sana
Hata walengwa wanashindwa jinsi ya kumuulizia uraia wakeMasoud yuko 1 Century ahead
Anajitambua kwenye taaluma yake siyo kama wale kina MayallaKipanya unajiamini