Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Meck Sadik alikuwa na akili aliona mbali sana heri heshima kuliko fedheha,wanalinda tumbo wacha wadhalilishwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Usilolijua sawa na usiku wa giza! Hivi unaelewa "kujiuzuru" kwenye madaraka matamu ya kisiasa?
Mkuu, huwa 'zimetembea' sana kwanza simu za kumshinikiza mtu achukue uamuzi na si kwa hiari kirahisi namna hiyo kama unavyodhania.
Huyo mzee aliwajibishwa ama kama mnavopenda kusema siku hizi, alitumbuliwa.
Fuatilia kwa kina utapata uthibitisbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngojera
Usilolijua sawa na usiku wa giza! Hivi unaelewa "kujiuzuru" kwenye madaraka matamu ya kisiasa?
Mkuu, huwa 'zimetembea' sana kwanza simu za kumshinikiza mtu achukue uamuzi na si kwa hiari kirahisi namna hiyo kama unavyodhania.
Huyo mzee aliwajibishwa ama kama mnavopenda kusema siku hizi, alitumbuliwa.
Fuatilia kwa kina utapata uthibitisbo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipanya katoboa ya uvunguni....watu wametahayari.

ukisikia "uwiiii" gizani ujue tofali limetua utosini!
 
msifieni tu siku likimkuta wanaomsifia sijui watasema nini maana kipanya anamchezea simba sharubu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kwani alichosema ni ukweli,kwa miaka mitatu rais katoa 1.2 trilioni kwnda mifuko ya hifadhi halafu huyu jamaa anakuja na katuni zake ovyo ovyo
we kijana upo mirembe? ningekua karibu ningekupa banzi hadi akili ikukae sawa
 
Kuna mzee alishangilia cjui ni mtukuta nilimuona empty bottle
 
.
IMG-20190102-WA0028.jpeg


Jr
 
midege hiyo siti zote zimekodishwa na nyama ya mbuzi kwenda njee🤪
 
Back
Top Bottom