Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

kwani alichosema ni ukweli,kwa miaka mitatu rais katoa 1.2 trilioni kwnda mifuko ya hifadhi halafu huyu jamaa anakuja na katuni zake ovyo ovyo
Kama unaamini kaingiza 1.2trilion Basi pia unaamini alikuta sukari sh 5000/- kwa kilo,

Usiwe kasuku kuchukua maneno Hata ya uongo, tumeambiwa kuwa kalipa deni lote ambalo ni 1.2 trillion wakati tunajua mifuko walisema wanadai 11triloin na JK alikiri wanadaiwa 8 trillion, wewe kasuku umechukua ya uongo, nakushauri uwe unafanya kautafiti binafsi kwanza kabla ya kupongeza.
 
Kama unaamini kaingiza 1.2trilion Basi pia unaamini alikuta sukari sh 5000/- kwa kilo,

Usiwe kasuku kuchukua maneno Hata ya uongo, tumeambiwa kuwa kalipa deni lote ambalo ni 1.2 trillion wakati tunajua mifuko walisema wanadai 11triloin na JK alikiri wanadaiwa 8 trillion, wewe kasuku umechukua ya uongo, nakushauri uwe unafanya kautafiti binafsi kwanza kabla ya kupongeza.
kwanini unataka niamini mifuko halafu nisimuamini JPM,amini unapoamini na mimi niamini ninapoamini mkuu
 
kwani alichosema ni ukweli,kwa miaka mitatu rais katoa 1.2 trilioni kwnda mifuko ya hifadhi halafu huyu jamaa anakuja na katuni zake ovyo ovyo
Kwani swala ni hiyo ela tunayoaminishwa au kikokotooo.....haya bana na nchi yetu ya kusadikika
 
Back
Top Bottom