Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

tapatalk_1544853514742.jpeg
 
hili hata mtoto wa chekechea anajua kawageuka huku aliwatuma yeye! yaan huyu mzee akikuteua jua atakutumia atakavyo akikosea hesabu zake ww ndio kafara
Wateule wake inabidi wawe makini sana,muda wowote anaweza kukutumia kama daraja,yeye akapanda na wewe ukashuka na kupoteza thamani.
 
Back
Top Bottom