Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

bora kuzaliwa Kenya tu..wakenya hawana haya maujinga
Daah...! Kenya haya yanayofanyika mbona wangeanza kelele siku nyingi. Sisi tunaishi kama tuko shimoni kwenye hii nchi. Uhuru haupo,ukijaribu tu hata kusema chochote chenye maslahi kwa wengi wasiojulikana hawa hapa. Sasa hivi tunaamuliwa kila jambo na mtu mmoja tu,yaani kila kitu ni mtu mmoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah...! Kenya haya yanayofanyika mbona wangeanza kelele siku nyingi. Sisi tunaishi kama tuko shimoni kwenye hii nchi. Uhuru haupo,ukijaribu tu hata kusema chochote chenye maslahi kwa wengi wasiojulikana hawa hapa. Sasa hivi tunaamuliwa kila jambo na mtu mmoja tu,yaani kila kitu ni mtu mmoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app


yaan watz km mamisukule ya gwaji
 
.
IMG-20181228-WA0256.jpeg


Jr
 
KIKI ZA MEMBE NA UFIPA WOTE 2020 KWISHNEEE...!

TENGENEZENI TATIZO LA USHOGA JINSI MNAVYOTUMIWA NA MABEBERU KUUTETEA AFU MUUKATAE GHAFLA ILI BAVICHAA MUWE MMEPATA KIKI ZA SIASA ZA KIMATAIFA KAMA BABA YENU WA TZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katafute mapopoma wenzio, hakuna mtumishi mwenye kujitambua atakayekumbwa na upepo wa kipumbavu kama huu. Kanuni zimeandikwa na JENY, ni mwanaCCM, Waziri wa serikali chini ya Baby wake, watumishi wamechachamaa Mr anajifanya kumkana Mumy ili kupata huruma ya watumishi, ghafla asiyehusika anatolewa kafara. Hizo kanuni za Kifirauni zilitungwa na huyo mama wa SSRA au na Jeny?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katafute mapopoma wenzio, hakuna mtumishi mwenye kujitambua atakayekumbwa na upepo wa kipumbavu kama huu. Kanuni zimeandikwa na JENY, ni mwanaCCM, Waziri wa serikali chini ya Baby wake, watumishi wamechachamaa Mr anajifanya kumkana Mumy ili kupata huruma ya watumishi, ghafla asiyehusika anatolewa kafara. Hizo kanuni za Kifirauni zilitungwa na huyo mama wa SSRA au na Jeny?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jina linatafsiri uhalisia wa akili ya mtu, asante sana kwa kujiweka wazi zaidi jinsi ulivyo 0 - 0 kichwani mwako(zero brain)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katafute mapopoma wenzio, hakuna mtumishi mwenye kujitambua atakayekumbwa na upepo wa kipumbavu kama huu. Kanuni zimeandikwa na JENY, ni mwanaCCM, Waziri wa serikali chini ya Baby wake, watumishi wamechachamaa Mr anajifanya kumkana Mumy ili kupata huruma ya watumishi, ghafla asiyehusika anatolewa kafara. Hizo kanuni za Kifirauni zilitungwa na huyo mama wa SSRA au na Jeny?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe anakula hiyo kitu pia ? Aisee huyu mzee ni haki ajiongezee ulinzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Historia ya Tz.
Tulikuwa na viwanda.
Tulikuwa na ndege.
Mfumo wa elimu mzuri, ulikuwepo.
Yote hayo hayakuendelezwa, bali yaliuliwa.
Waliyoyauwa ni wanasiasa.
Sasa hivi, hao hao wanasiasa, wanatujia na kauli mbiu ya viwanda, ndege zetu n.k.
Na kwa mbinu hiyo, wapiga kura wanachotwa kimawazo na kudanganyika kuwa tatizo linatatuliwa, bila ya kujiuliza, nani hasa alilisababisha hilo tatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampeni za hv karibuni mitandaoni kushamiri kila kukicha zikimuona RC Makonda hafai kwa kupinga upumbavu wa "HAKI ZA KIBINADAMU" zilikuwa zinaendeshwa na akina nani hasa kama si ninyi ninyi BAVICHAA toka huko UFIPANI???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe alitengeneza tatizo la kikokotozi cha mafao kisha akatatua tatizo mwenyewe!!
 
Back
Top Bottom