Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Muafaka utakuwa ni kufuata ushauri wa speaker ya Lumumba (Mr funeral) kumtumbua ndo kosa kubwa sana litakalo kifuta chama chakavu kwenye Ramani.
 
Ndiyo maana jamaa kaongeza mpaka chopa
Na wiki ijayo vifaru viwili on duty! na kama ni ukanda wa pwani basi hii kitu takuwa inavinjari maana sasa imefungwa vifaa vya Kiisrael kama yote!
mv dar es salaam.jpg
 
Afukuzwe kwa kosa gani,alafu Mbona Membe hana nguvu hiyo inayosemwa ..hivi anawezaje kupata nafasi ya kuwa Mgombea
 
Unataka kusema kuwa ndiye aloyemshauri Emmasson Mnangagwa kumtimua Mugabe kwa intelligemsia kali sana namna ile?? Then if the case is so, Magufuli ajisalimishe mapema.
Magufuli na Inner circle yake Clueless individuals ni rahisi kusambaratishwa na mtu kama Membe.
 
Mimi nimeshindwa kuelewa maana hasa ya hii picha kutoka kwa msanii Kipanya
Tafadhali wenye maono na akili ndefu tuichambue hii pichaView attachment 958039
kwamba chama chenyewe kina ulizana huyu mtu tukimtoa au tumpoteze.hapo wazee waupinzani unajua ndipo waokotaji kama tunawajua.ndipo chama kinakosa jibu
 
Back
Top Bottom