Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Kwani kawakosea kitu gani jamani?
Huyo atakua Membe tu. Only Big Minder.😎
Huyo atakua Membe tu. Only Big Minder.😎
Kama wanaona atawasumbua kwa hizo options walizonazoNani huyo sasa anatakiwa kupigwa risasi?
Sijaona tatizo la picture hii maana anayejua maana ya picture hii ni aliyechora siyo anayeisomaMimi nimeshindwa kuelewa maana hasa ya hii picha kutoka kwa msanii Kipanya
Tafadhali wenye maono na akili ndefu tuichambue hii pichaView attachment 958039
Kakaa kimya. Ukimya huku kwetu ni hujuma dhidi ya juhudi za mzee babaKwani kawakosea kitu gani jamani?
Sijaona tatizo la picture hii maana anayejua maana ya picture hii ni aliyechora siyo anayeisoma
Kakaa kimya. Ukimya huku kwetu ni hujuma dhidi ya juhudi za mzee baba
Wapo lakini kumbuka Benard ni mshauri wa Serikali ya Zimbabwe katika maswala ya Usalama ndio utajua huyu jamaa anaielewa mizizi.Kwani wasiojulikana hawapo siku hizi?
Siwezi kujibu maana aliyechora sikuwa naye na wala siwezi kujua alikuwa na mtazamo upi kwenye picture hiyo, kwa msaada alitakiwa kumtafuta Kipanya ili aweze kumsaidia kama anahitaji kujua.Bado hujajibu ulicho ulizwa
Nani huyo wa kupewa kiti?Wampe cheo tu, ndio dawa
Kile kiti cha pembeni bila shaka ni cha Jiwe.Sasa vile vingine sita sijui ni akina nani wale?
Wapo lakini kumbuka Benard ni mshauri wa Serikali ya Zimbabwe katika maswala ya Usalama ndio utajua huyu jamaa anaielewa mizizi.
Mimi nimeshindwa kuelewa maana hasa ya hii picha kutoka kwa msanii Kipanya
Tafadhali wenye maono na akili ndefu tuichambue hii pichaView attachment 958039
Hapo watu wa NTWARA wanakwambia UKICHIMAMA NCHALE,UKIKIMBIA NCHALE.Mimi nimeshindwa kuelewa maana hasa ya hii picha kutoka kwa msanii Kipanya
Tafadhali wenye maono na akili ndefu tuichambue hii pichaView attachment 958039