Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

JIWE mwaka huu lazima aombe poo maana nyumbani hakukaliki na masikani hakuna amani
 
Hata kama wapo lkn kumfuata huyo jamaa nafsi inawasuta na pia kwenye kiota chao tayari kuna mgawanyiko mkubwa hivyo hakuna cha siri
Nahisi toka walipoboronga ile movie ya mudy ya nissan surf wamekuwa hawaaminiki
 
Sijaona tatizo la picture hii maana anayejua maana ya picture hii ni aliyechora siyo anayeisoma
Unaulazimisha ujinga wako uingie akilini mwa kila mtu??
Hyo ni lugha ya mafumbo au picha inatafsiri yake kulingana na uelewa wako.
 
Wasifanye kosa hilo watasambatika
Mwenyekiti yupo ila kabaki na alama ya mshangao ina maana yupo kwenye sintofahamu,, anashindwa afanye lipi maana akimfukuza atamsumbua kama mjumbe anavyoonelea
 
Wapo lakini kumbuka Benard ni mshauri wa Serikali ya Zimbabwe katika maswala ya Usalama ndio utajua huyu jamaa anaielewa mizizi.
Unataka kusema kuwa ndiye aloyemshauri Emmasson Mnangagwa kumtimua Mugabe kwa intelligemsia kali sana namna ile?? Then if the case is so, Magufuli ajisalimishe mapema.
 
Yule jamaa hawezi kushindwa kikondoo kiasi hicho ila sema kwa sasa jiwe ndiyo ana hali ngumu maana hata Bashite ana mahusiano mazuri na huyo mtu
Anaundiwa zengwe zito anyanyue mikono yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom