We uoni msafara tu sawa na Ziara tano za kuosha macho nje
Umesema kweli mkuu na Jiwe kwa sasa anaogopa hata kivuli chake
Umesema kweli mkuu na Jiwe kwa sasa anaogopa hata kivuli chake
Unataka kusema kuwa ndiye aloyemshauri Emmasson Mnangagwa kumtimua Mugabe kwa intelligemsia kali sana namna ile?? Then if the case is so, Magufuli ajisalimishe mapema.
Huo ndiyo mwisho wa utawala wa kimabavu chini ya zimwi la kijani
We uoni msafara tu sawa na Ziara tano za kuosha macho nje
Naliona kosa la KANU soon kijani watagawana fito
Mmoja kashika ugali mwingine mboga,tule pop cone vita vya panziUnataka kusema kuwa ndiye aloyemshauri Emmasson Mnangagwa kumtimua Mugabe kwa intelligemsia kali sana namna ile?? Then if the case is so, Magufuli ajisalimishe mapema.
Kakaa kimya. Ukimya huku kwetu ni hujuma dhidi ya juhudi za mzee baba
sa cjui tufanyeje maana tukisema nongwa, tukikaa kimya nongwa, tukilamamika nongwa, sasa sijui lipi jema kwaoMmoja kashika ugali mwingine mboga,tule pop cone vita vya panzi
Nikikumbuka tambo na mikwara ya Mugabe lkn sasa amebakia miwani tu
Hapo watu wa NTWARA wanakwambia UKICHIMAMA NCHALE,UKIKIMBIA NCHALE.

Dua la wengi Mola ulisikia soon kutapambazuka tumeteseka sana misiri.Ajuae wapi panakokwa moto nimpe Fuso la kuni.Hiyo ndiyo dua za mamilioni ya watanzania
Dua la wengi Mola ulisikia soon kutapambazuka tumeteseka sana misiri.Ajuae wapi panakokwa moto nimpe Fuso la kuni.
Bashite atakuwa anachekea tumboni
Msishangae siku mkimuona jiwe kawa mwehu anakimbia kimbia hovyo eti anakikimbia kivuli chake mwenyewe.Umesema kweli mkuu na Jiwe kwa sasa anaogopa hata kivuli chake
Bashite atakua ndo director.Wako location labda part two kuwapata wazungu wa kipande cha part two
Msishangae siku mkimuona jiwe kawa mwehu anakimbia kimbia hovyo eti anakikimbia kivuli chake mwenyewe.
So wamuue to fasta au wanasubiri nini?







