Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Angekuw kipanga asingekuwa anatangaza kwenye tv ya hovyo kama clouds. Angekuwa lecturer somewhere
Yay so ukiwa sawa sawa unakuwa mhadhiri?basi? Nahisi wewe lecturer unaowaelekeza huko kwenye vitivo wana msiba mkubwa wa kitaaluma heri mm o level janja ya mjini then hustlin around da world nimepata kitaaluma cha mtaa kuliko wewe john kisomo
 
Nilivyoielewa picha ni kwamba jamaa kakwea hadi kileleni cha mti wa upinzani na kutokana na mti huo kuwa mwembamba, ukaanza kuinama kuelekea CCM ili aangukie huko ila bado kashikilia mti kwa nguvu


C.C Pascal Mayalla
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
Isije kuwa unamwonea wivu kwa jinsi anavyofuatiliwa nchi nzima kila siku kwa makala zake za katuni, huku wewe unaejifanya kipanga huna lolote la msaada kwa nchi yako.Aibu kwako
 
Una matatizo gani wewe...mbona unakimbiakimbia ovyo? Muache Ki-panya atumie talent yake kuelimisha na kuburudisha...Kwani wewe uliyekuwa una akili sana darasani una effect gani kwa taifa muda huu??
Kwanza mfumo wetu wa elimu haumuwezeshi mwenye akili nyingi kufanikiwa. Hata magugu maji unaambiwa kasoma sana
 
Wewe kolo unataka kila kipanga awe lecture??..maisha hayako hivo..kila mtu anafanya kitu ambacho yupo confortable nacho na anakifurahia..
Nakumbuka kuna kijana ana asili ya Tanga ila wazazi wake walihamia Mtwara alipata 0 form four. Alipelekwa Marekani akaanza shule upya na akaja kuwa mwanafunzi mwenye akili sana katika level zote alizopitia hadi chuo kikuu na sasa hivi ni muajiriwa wa microsoft nafikiri
 
Huyu jamaa imekuw ngumu kuachilia huo mnazi,sasa ni bara tu aendelee kuushikilia mpaka utulie ndipo hashuke, maana aachilia anaweza angukia upande ambapo hamna kitu akapoteza.
 
Back
Top Bottom